Pages

Tuesday, 20 August 2013

DK.Shein afanya Mabadiliko katika Wizara za Serikali ya Mapinduzi

IMG 30622 1c628
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Dk.Mwinyihaji Makame Mwadini kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora,katika hafla iliyofanyika Ukumbi wa ikulu Mjini Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]     M.M

No comments: