Pages

Friday, 30 August 2013

Wanawake wataka Katiba iainishe usawa

Baraza la Kitaasisi la Wanawake Wanahabari, limesema Katiba mpya iainishe suala la usawa katika nyanja zote za uongozi ikiwa ni pamoja na uongozi wa mihimili mikuu mitatu ya utawala yaani Serikali, Bunge na Mahakama.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakati wa mkutano wa kujadili masuala muhimu ya kijinsia yanayopaswa kuingizwa katika rasimu ya Katiba mpya uliofanyika jana jijini Dar es Salaam, wajumbe wa baraza hilo walitaka Katiba mpya izingatie zaidi fursa katika usawa wa uongozi na kutolea mfano kuwa kama mwanaume atakuwa waziri basi katibu mkuu awe mwanamke na siyo kupewa nafasi ya usaidizi.

"Licha ya rasimu kuainisha haki za wanawake katika ibara ya 46, lakini bado kifungu cha 1 (c) hakimpi nafasi mwanamke kushiriki kikamilifu katika chaguzi za ngazi zote za maamuzi na uongozi, hivyo kuwepo na mazingira wezeshi," alisema Mratibu wa taasisi ya wanawake ya Ulingo, Avemaria Semakafu. 

Semakafu alisema katiba iweke na chombo maalum cha kusimamia haki za watoto na wanawake kwa kuwa rasimu haijaonyesha, hivyo kwa kuzingatia suala hilo utaratibu utawekwa wa kuunda tume itakayosimamia na kuhakikisha viongozi na wananchi katika ngazi zote wanaitekeleza ibara hiyo.

Naye Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Nchini (Tamwa), Valerie Msoka alisema Katiba itaje umri kamili wa mtoto na muda rasmi wa kuruhusiwa kuoa au kuolewa. 

Pia alitaka itaje kiwango cha haki ya elimu kuwa mpaka kidato cha nne pamoja na kutoa mazingira rafiki ya kumwezesha watoto wa kike kupata elimu kwa usalama zaidi.

Kwa upande wake, mjumbe kutoka Mtandao wa Mashirika ya Haki za Binadamu Kusini mwa Afrika, Matrina Kabisana alisema rasimu haijatoa haki ya kuishi kwa asilimia 100, kwani bado haijaweka kipengele cha kukataza adhabu ya kunyongwa mpaka kufa (kifo).

CCM KUWASAIDIA WAZEE

 Baadhi ya wawakilishi wa Mtandao wa Wazee wakiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye nje ya ofisi za Makao Makuu ya Chama Dodoma leo tarehe 30 Agosti 2013.

WAASI WA M23 WAMUUA MWANAJESHI WETU WA JWTZ HUKO KONGO


TAARIFA KUHUSU TUKIO LA KUFARIKI KWA AFISA WA JWTZ KATIKA JUKUMU LA KULINDA AMANI - DRC, GOMA

Majambazi yapora Sh900 milioni benki asubuhi

Suleiman Kova 
Kwa ufupi
  • Alisema mmoja wa majambazi hao alikuwa ni mtu mwenye asili ya Asia na kwamba walikuwa wakizungumza Kiingereza kuwasiliana.

Saa 4 zawatenganisha pacha walioungana

Daktari Bingwa wa Watoto katika Hospitali ya Muhimbili, Profesa Karim Manji (wa pili kushoto) akifurahia na wenzake baada ya kufanikiwa kwa operesheni ya kuwatenganisha watoto walioungana, kazi iliyofanywa na jopo la madaktari bingwa saba kwa saa 4.

IGP asafisha vigogo Uwanja wa Ndege

IGP Said Mwema 
Kwa ufupi
  • Amhamisha kamanda na msaidizi wake, ni siku chache baada ya kuibuka kwa kashfa ya dawa za kulevya, kamanda wa Mtwara naye arudishwa makao makuu 

Thursday, 29 August 2013

BREAKING NEWS....ASKOFU KULOLA AFARIKI DUNIA


Wabunge wa Tanzania nao wasusia kikao EALA

 
Kwa ufupi
Jana ilikuwa ni mara ya pili wenzetu, kudharau kiti cha Spika na kutaka kutoa hoja na kujadiliwa bila kufuata kanuni, sasa tumeona ni vizuri na sisi kwa kupinga kuvunjwa kanuni, tutoke ili kuonyesha tunapinga mchezo huu.

Watu 13 wafariki ajalini Kahama


Suleiman Kova 
Kwa ufupi
Ajali hiyo ilikuja baada ya gari walilokuwa wakisafiria, kuligonga gari lililokuwa limeharibika katikati ya barabara.

Ponda asimamisha shughuli Morogoro

Sheikhe Ponda Issa Ponda akiwa chini ya ulinzi wa askari magereza wakati akielekea katika mahakama ya hakimu mkazi Morogoro kusikiliza kesi yake inayomkabili.
Kwa ufupi
  • Alifikishwa mahakamani hapo saa 4:10 asubuhi akiwa katika basi la Magereza ambalo lilisindikizwa na jingine dogo, huku magari mengine yakisimamishwa kupisha msafara huo.

Wednesday, 28 August 2013


Lukuvi: Wabunge wengi wamo orodha ya dawa za kulevya


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi 
Na Habel Chidawali  (email the author)
Kwa ufupi
  • Lakini asema Serikali haiwezi kukurupuka kuwataja kwa kuwa haina ushahidi wa kutosha

Sunday, 25 August 2013


Kamati Kuu yamzuia Kagasheki kushiriki siasa mkoani Kagera

Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (kushoto) akisalimiana na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta wakati wa uzinduzi wa Baraza la Wazee la Ushauri la CCM, mjini Dodoma jana.

Saturday, 24 August 2013

Mchakato wa kumrejesha Alex Massawe waiva


mfanyabiashara maarufu Alex Massawe, anayetafutwa na vyombo vya usalama 
Kwa ufupi
Hati hiyo ilitolewa juzi na Hakimu Mkazi Geni Dudu, kufuatia maombi ya Jamhuri, yaliyotolewa na Wakili Mwandamizi wa Serikali Tumaini Kweka, baada ya kumfungulia kesi ya jinai.

‘Chomoka na Mwananchi’ yavutia maelfu


Wafanyakazi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd waliotengeneza umbo la ‘M’ (Mwananchi) kuashiria kuanza kwa promosheni kabambe ya kuwajaza wasomaji wake mamilioni ya fedha na magari matatu mapya. Picha na Emmanuel Herman 

Mansour: Nitazungumza baada ya uamuzi wa chama


Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi wakijadiliana jambo kabla ya kuanza kwa kikao kilichoongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete, mjini Dodoma jana. Kutoka kushoto Pindi Chana, Dk Maua Daftari, Dk Asha-Rose Migiro, Salmin Awadh Salmin na Sophia Simba. Picha na Edwin Mjwahuzi 

Ndege ya Rais yadaiwa kubebea mkaa, mihogo


Ndege maalumu ya Rais Tanzania pia hutumika kubeba viongozi wa Serikali 


Kwa ufupi

  • Habari zilizopatikana kutoka ndani ya serikali ya Mapinduzi Zanzibar zinaeleza kuwa, tuhuma hizo zilitolewa na wabunge hao wakati wa kikao chao na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein mwezi uliopita.

Wednesday, 21 August 2013

FAMILIA YAMBURUTA LIYUMBA KORTINI

Na Rehema Maigala
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Utawala na Fedha katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba, amefunguliwa kesi ya madai na mke wake, Aurelia Ngowi, akiiomba mahakama hiyo imzuie aache kutawanya mali za familia ikiwa ni pamoja na kutaka kuuza nyumba anayoishi na watoto

POLISI 7 'FEKI' MBARONI DAR

  • WALIVALIA SARE,MMOJA ANA CHEO CHA MEJA
  • YADAIWA WALIKUWA 'DORIA' MAENEO YA BOKO
  • OFISA USALAMA BANDIA NAYE ABAMBWA

Rwanda, Uganda zajitoa Bandari ya Dar

 
Kwa ufupi
Nchi hizo zitaacha kuitumia Bandari ya Dar es Salaam kutokana na urasimu na pia usumbufu katika kusafirisha bidhaa.

Polisi wamtaka Sheikh Kundecha ampeleke Sheikh Bungo kituoni

 
Kwa ufupi
Wadai Sheikh Bungo alitamka kauli za uchochezi kwenye mkutano uliofanyika wilayani Temeke hivi karibuni

Serikali yasalimu amri kwa Dowans

Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG),Fredrick Werema 
Kwa ufupi
  • Maswi alisema baada ya Waziri Muhongo kutoa kauli hiyo bungeni, utekelezaji wake unapaswa kufanywa na wanasheria wa Serikali na kwamba mtu sahihi wa kuulizwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) kwa sababu Tanesco ni shirika linalomilikiwa na umma kwa asilimia 100.

Makatibu wakuu wapya

 

Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amefanya uteuzi wa makatibu wakuu kumi na mmoja na naibu makatibu wakuu 14 wapya katika wizara mbalimbali.
Miongoni mwa walioteuliwa ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Profesa Sifuni Mchome ambaye sasa anakuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na aliyekuwa Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Deodatus Mtasiwa ambaye anakuwa Naibu Katibu Mkuu, Tamisemi.
Mtasiwa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Blandina Nyoni

PICHA MBALI MBALI WAKATI WA MAZISHI YA 'NEMELA' NEEMA PHILIP MANGULA

Wednesday, August 21, 2013


 Mwakilishi wa Mheshimiwa Rais katika mazishi ya Nemela  Mangula  Mh. Anne Makinda akiwa ameongozana na Mh. Wassira na viongozi wengine wakipitia wosifu wa marehemu pamoja na ratiba za mazishi.

Tuesday, 20 August 2013

Jaji Mkuu Z’bar kusikiliza kesi mauaji Padri Mushi;

jajimkuu_732e0.jpg
Kesi ya mauaji ya Padri Evarist Mushi wa Kanisa Katoliki Zanzibar, sasa itasikilizwa na Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Othman Makungu.

DK.Shein afanya Mabadiliko katika Wizara za Serikali ya Mapinduzi

IMG 30622 1c628
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Dk.Mwinyihaji Makame Mwadini kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora,katika hafla iliyofanyika Ukumbi wa ikulu Mjini Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]     M.M

Mwakyembe awashukia wapelelezi dawa za kulevya

mwakyembepx b7145
Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amewashukia waendesha mashitaka na wapelelezi kesi zinazohusiana na dawa za kulevya kuwa hadi sasa zimefikia 36 lakini hakuna taarifa zake.
Mwakyembe aliyasema hayo wakati akizungumza kwenye Kipindi cha Jenerali On Monday kilichorushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten juzi usiku.

Ukatili huu utaisha lini?

KUCHOMWAMOTOSONGEA 64665
Fikiri Hausi mwanafunzi wa darasa la tatu katika shule ya msingi ya majengo manispaa ya Songea akiwa amelazwa Hospitali ya mkoa baada ya kuunguzwa na mama yake. Jeshi la polisi lina endelea kumtafuta mama wa mtoto huyo(Picha: Songea habari)
MKONOULIOUNGUZWA bb7f1
huu ni mkono wa Fikiri akiwa hospitali kwa matibabu
P.T

WAKAZI WA GAIRO WAJITOKEZA KWA WINGI KWENYE MKUTANO WA BARAZA LA KATIBA

JK ataka vyuo vikuu nchini kudahili wanafunzi wengi


Rais Jakaya Kikwete 
Na Meck Lameck
Kwa ufupi
  • Asema idadi inayodahiliwa ni ndogo, ikilinganishwa na nchi jirani.

Wakurugenzi 70 vinara mtandao wa ufisadi

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda 
Kwa ufupi
  • Ukiangalia kesi zilizoko mahakamani ambazo upelelezi wake bado unaendelea utaona wazi kuwa Takukuru ni miongoni mwa watu wanaopokea rushwa, jambo ambalo limesababisha kuchelewesha upelelezi au kupindisha ukweli

NJOMBE
Jamii wilayani Ludewa mkoani Njombe, imetakiwa kutoa ushirikiano katika kipindi hiki cha ujenzi wa barabara unaoendelea kuanzia Ludewa maeneo ya Kilimahewa mjini Ludewa hadi kijiji cha Lupingu.
Na Festus Pangan
BREAKING NEWSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS
MBEYA
MTOTO WA KIKE ALIYEFAHAMIKA KWA JINA MOJA HADIJA  ANAYEKADILIWA KUWA NA UMRI WA MIAKA 8 AMEGONGWA NA GARI AINA YA TAXI T 220 AZN, KATIKA ENEO LA MSIKITINI-ISANGA JIJINI MBEYA, HUKU CHANZO KIKIDAIWA KUWA DEREVA WA GARI HILO ALIKUWA AKIENDESHA KWA MWENDO KASI HUKU AKIWA AMELEWA KWA TAARIFA ZAIDI ENDELEA KUFUATILIA BLOG HII........ 

AMRI YA MWAKYEMBE JNIA YATEKELEZWA

Na Goodluck Hongo
SAKATA la maofisa wanne waliotajwa na Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe kuhusika na kupitisha dawa za kulevya kilo 150 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) limeendelea kutekelezwa baada ya maofisa hao kukabidhiwa barua zao rasmi. 

 

MAJAMBAZI YAUWAWA DAR

MAJAMBAZI wawili wameuawa na wananchi wenye hasira baada y a k ump o r a f e d h a mfanyabiashara, Wiliam Mathias mkazi wa Kijitonyama jijini Dar es Salaam. 
Na Meck Lameck


VIGOGO DECI CHINI YA ULINZI

Watuhumiwa waliotiwa hatiani kwa makosa ya kupokea fedha kupitia taasisi isiyo halali ya DECI, kinyume cha sheria wakiwa chini ya ulinzi mara baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana. Washtakiwa hao ni Jackson Mtares, Dominick Kigendi, Timotheo ole Loitignye na Samwel Sifael Mtares

RIPOTI MAALUM:HATARI ZIWA VICTORIA

  • WATANZANIA WALISHWA VINYESI, MENGI YAIBUKA

Vigogo kutoa ushahidi dhidi ya Mbunge Lema


Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema 
Na Peter Saramba  (email the author)
Kwa ufupi
  • Wakili wa Serikali, Elinenya Njiro, alitaja mashahidi wengine watakaotoa ushahidi wao mahakamani kuwa Faraji Mnepe, Benjamin Simkanga na Naibu Hamidu, wote kutoka Chuo cha Uhasibu.

 Na Meck Lameck

Butiku: Ningejua CCM itaingilia mchakato wa Katiba nisingeshiriki


Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku 
Kwa ufupi
  • Butiku ambaye alitoa kauli hizo kwa nyakati tofauti, wikiendi iliyopita kwenye Mabaraza ya Katiba ya Halmashauri ya Mji wa Soni, Lushoto na Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, alieleza kutokufurahishwa kwake na kitendo cha CCM kushinikiza maoni yake mbele ya mabarza
  • Na Meck Lameck

Ponda Dar mpaka Moro kwa Helikopta


Helikopta ya polisi iliyombeba Katibu wa Jumuia na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ikiwa katika Uwanja wa Gymkhana mkoani Morogoro baada ya kumfikisha kiongozi huyo kwa ajili ya kupelekwa kusomewa mashtaka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani humo jana.Picha na Juma Mtanda  
Na Meck Lameck

Sunday, 18 August 2013

Rais wa Malawi ammwagia sifa Rais Kikwete...


RAIS wa Malawi, Joyce Banda amempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kuimarisha demokrasia, amani na usalama katika nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za kusini mwa Afrika (SADC).

Mwanamke mwingine abakwa na kuchomekwa miti sehemu za siri


Ikiwa  ni  siku  chache  baada  ya  mwnamke  mmoja  mkazi  wa  kahama  kubabwa  na  kutobolewa  macho  huku  akichomekwa  kisu  sehemu  zake  za  siri, mitandao  ya  kinigeria  nayo  imeripoti  unyama  kama  huo.....


Kwa  mujibu  ya  mitandao  hiyo, unyama  huo  unadaiwa  kutendwa  kwa  binti  wa  miaka  23  ambaye  alibakwa  na  kundi  la  wanaume  na  kisha  kumchomeka  miti  sehemu  za  siri  na  kumtoboa  macho....

Thursday, 15 August 2013

MWANAFUNZI AVUNJWA KIUNO NA MWALIMU WAKE KWA KUCHAPWA VIBOKO MKOANI KIGOMA


Hizi ni picha  za  mtoto  Isumaili  Joseph  anaesadikika kutendewa kitendo cha kinyama kwa  kupigwa viboko kiunoni  na mwalimu wake  Mr. Nguige Joseph  Rukasi.
Na Meck Lameck

MANISPAA YA IRINGA YAMALIZA UTATA KATI YA MACHINGA NA POLISI ENEO LA MASHINE TATU YAGEUZA STENDI YA DALADALA

 Daladala  zikiwa  zikisubiri abiria  katika  stendi mpya  ya Mashine  tatu  katika Manispaa ya Iringa eneo  ambalo awali  machinga  walikuwa  wakilitaka kwa shughuli zao  siku za  jumapili
Na Meck Lameck

KERO YA MAJI YAWATESA WANANCHI WA KIJIJI CHA NJELENJE MBEYA

 
Na Esther Macha,wa matukiodaima.com  mbeya
WANANCHI wa Kata ya Mshewe  kijiji cha Njelenje Wilaya ya Mbeya wamelalamikia  kutokuwa na maji kwa muda wa miaka 10 licha  ya uongozi wa kata hiyo kuendelea kuwachangisha michango  ya mabomba wananchi hao .
Na Meck

ZAHANATI YA NJELENJE MBEYA LAWAMANI

 
 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussein Ali Mwinyi
...................................................................................................

LUGHA za  manyanyaso ambazo zinatumika na wauguzi wa Zahanati ya Njelenje Wilaya ya Mbeya zimewafanya wanawake wa kijiji  hicho kuamua kujifungulia majumbani kwao ili kukwepa matusi wanayotukanwa.

KONDA WA DALADALA IRINGA AFANYISHWA USAFI BAADA YA KUNASWA AKIJISAIDIA HADHARANI

 Kijana  anayefanya kazi ya  ukonda katika daladala  inayofanya safari  zake kati ya  Kitapilimwa - M.R miyomboni  Bw  Christipher Kinigo akifanya  usafi  wa  kuzoa  taka kwa  mikono baada ya  kunaswa  akijisaidia haja ndogo  katika  eneo hilo kinyume na sheria  za usafi  Manispaa ya  Iringa 
Na Meck Lameck

Wednesday, 14 August 2013

Waziri Mwakyembe akabidhi rasmi Ithibati ya mafunzo ya Mizigo hatarishi kwa NIT.

DSC_0693
Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe(aliyevaa tai nyekundu), akimsikiliza Mkuu wa Chuo Cha Taifa cha Usafirishani (NIT),Mhandisi Dk. Zacharia Mganilwa(kulia) jana kabla Waziri huyo hajakabidhi Ithibati ya Kuendeshea mafunzo ya wahudumiaji wa Mizigo hatarishi katika viwanja vya NIT. Kushoto  kwa Waziri wa Uchukuzi ni Mwenyektii wa Baraza la Uongozi wa chuo cha NIT, Ms. Priscilla J. Chilipweli.


Kamati kuu ya CCM kuamua hatma ya Madiwani Bukoba.

Nape-Nnauye
Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Kagera tarehe 13/08/2013 katika kikao chake cha siku moja kilichofanyika mjini Bukoba imetangaza uamuzi wake wa kuwafutia dhamana ya CCM hivyo kuwavua Udiwani Madiwani wanane wa Manispaa ya Bukoba waliotokana na CCM.

BREAKING NEWS!! UZEMBE WA TANESCO WASABABISHA KIFO CHA BINTI WA MIAKA 26 JIONI HII MBALIZI MBEYA. 

MWILI WA MAREHEMU UKIWA KATIKA CHUMBA CHA MAITI HOSPITALI YA IFISI ILIYOKO WILAYA YA MBEYA UKISUBIRI UCHUNGUZI ZAIDI WA KITABIBU.

Polisi wamkamata aliyemuua Msuya


 

NA Meck Lameck
Kwa ufupi
  • Habari hizo zimedai kuwa polisi pia imewahoji mawakala wa kampuni za simu ambao walitumiwa kusajili laini mpya za simu zilizotumika kumpigia marehemu na kutumika kupanga mauaji hayo.
SITTA AGEUKA JIWE
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, amebadili kauli yake ya awali, kwamba katiba mpya iondoe viti maalumu kwa kuwa wabunge wa viti maalumu hawana umuhimu wowote.

Kodi kuhamisha fedha yapingwa

 
Benki kuu ya Tanzania(BOT) 

Kwa ufupi
  • Katika taarifa yao kwa vyombo vya habari iliyochapishwa kwenye magazeti jana, chama hicho kimesema kuwa hakikushirikishwa katika utungaji wa sheria hiyo bali kilipata taarifa kupitia mawasiliano yake na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Necta kusahihisha mitihani ya kujieleza kwa kompyuta

 
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Nchini (Necta), Dk Joyce Ndalichako 
Na Fredy Azzah  (email the author)

Kwa ufupi
Hatua hii inakuja baada ya Serikali kuanza kuitumia kusahihisha mitihani ya darasa la saba jana

Ponda: Risasi ilinichanganya

 
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda akiwa na mkewe Hadija Ahamad alipomtembelea jana. Picha na Beatrice Moses
Kwa ufupi
  • Namshauri Rais (Jakaya Kikwete), kuhakikisha kwamba haki za wanyonge zinawafikia, asije akafikiri hili lililotokea kwa Sheikh Ponda ni suluhisho, ni vyema kufanya mazungumzo ili kuweka mabadiliko.