Pages

Sunday, 24 November 2013


‘Mtanzania’ akamatwa kesi ya utumwa Uingereza

Polisi wakiwa nje ya moja kati ya majengo yanayohisiwa kutumika kama makazi ya mke na mume waliokamatwa Alhamisi kwa tuhuma za kujihusisha na utumwa. Mmoja kati ya watuhumiwa hao ametokea Tanzania. PICHA | LEON NEAL-AFP 

London. Mmoja kati ya watuhumiwa wawili wanaoshutumiwa kuwashikilia wanawake watatu katika mazingira ya utumwa kwa miaka 30 mjini London anatokea Tanzania, polisi Uingereza wamesema Jumamosi.

Mtei: Tutaendelea kuwafukuza wasaliti


Mwasisi wa Chadema Edwin Mtei anamtaka Saidi Arfi aache kulalamika kwani “kama alikuwa na ndoto kwamba siku moja atakuwa mwenyekiti wa Chadema taifa alipaswa kujichunguza kwanza.” PICHA | MAKTABA 

Arusha. Mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei amesema kuwa chama hicho kitaendelea kuwafukuza wote wanaokihujumu huku akieleza kwamba, anaunga mkono kuvuliwa uongozi kwa Zitto Kabwe na Dk Kitila Mkumbo.


Laptop ilichangia mauaji ya kutisha Ilala Bungoni

Christina Newa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mauaji yaliyofanywa na mchumba wake Gabriel Munisi. PICHA | MAKTABA 



‘Nilikuwa naomba Mungu kila siku ili afukuzwe Chadema’ - Mama Zitto

 Dar es Salaam. Siku moja baada ya Kamati Kuu ya Chadema kumvua uongozi aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Taifa wa chama hicho, Zitto Kabwe, mama yake mzazi, Shida Salum ametoa ya moyoni akieleza kuwa kilichomkuta mwanaye kimefunika mabaya mengi yaliyopangwa afanyiwe.

Thursday, 24 October 2013

  Seif apongeza mkutano wa JK na vyama

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kuzungumza na vyama vya siasa kuhusu Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba 2013, akisema ametumia njia sahihi kabisa.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI MKOANI KIGOMA KUZINDUA KIVUKO KIPYA

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI MKOANI KIGOMA KUZINDUA KIVUKO KIPYA CHA MV MALAGALASI WILAYANI UVINZA KESHO.
1_91dbc.jpg
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Kigoma wakati walipokuwa wakimpokea kwenye Uwanja wa Ndege wa Kigoma leo mchana. Makamu amewasili mkoani Kigoma leo kwa ajili ya kuzindua Kivuko kipya cha Malagalasi katika Wilaya ya Uvinza kesho. Picha na OMR

Wednesday, 23 October 2013

Wabunge wastaafu walia njaa kwa Spika

OFISI ya Bunge inaangalia utaratibu wa kufundisha wabunge ujasiriamali baada ya kubainika baadhi ya wanaokoma kushika wadhifa huo, kukabiliwa na hali mbaya ya ukwasi na kulazimika kuomba msaada.