Pages
Sunday, 20 October 2013
Tuesday, 15 October 2013
Mama yake Ufoo alipigwa risasi tano
TAARIFA zaidi za kusikitisha kuhusu
mauaji ya kinyama, yaliyofanyika katika familia ya Mtangazaji wa Kituo
cha Televisheni cha ITV, Ufoo Saro zimeendelea kutolewa, ambapo
imebainika mama mzazi wa mtangazaji huyo, Anastazia Saro (58), aliuawa
kwa kupigwa risasi tano.
GARI LA MWISHO KUTUMIWA NA MAREHEMU BABA WA TAIFA,NA MAGARI MENGINE YA SERIKALI ALIYOKUWA AKIYATUMIA ENZI ZA UHAI WAKE
Hili ni gari ambalo marehemu baba wa Taifa ambae leo anatimiza
miaka 14 tangu kufariki kwake alilitumia wakati anapelekwa Airport
kwaajili ya matibabu.
Hali ya muandishi wa habari wa ITV na Radio One Ufoo Saro inaendelea vizuri.
Hali
ya muandishi wa habari wa ITV na Radio One Ufoo Saro aliyejaruhiwa kwa
risasi na mzazi mwenzie inaendelea vizuri lakini bado yupo chini ya uangalizi
maalum wa madaktari.
Kwa
mujibu wa madaktari waliomfanyia upasuaji wa kuondosha risasi iliyokuwa tumboni
Ufoo anahitaji muda mwingi wa kupumzika ili aweze kupata nafuu na kurudi katika
hali yake ya kawaidia.
Muandishi
huyo alipelekwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili akitokea Hospitali ya Tumbi
Kibaha Mkoani Pwani ambapo alipelekwa mara baada ya kukutwa na tukio hilo.
Wednesday, 9 October 2013
Wawekezaji wanyanyasaji kufukuzwa
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar
imesema wawekezaji watakaobainika kujishughulisha na vitendo vya
udhalilishaji wa kijinsia pamoja na kuwasumbua wafanyakazi katika sekta
za mahoteli watachukuliwa hatua za kinidhamu ikiwemo kufukuzwa nchini.
Mfanyabiashara Arusha adai kumwagiwa tindikali
Subscribe to:
Comments (Atom)





