Pages

Monday, 30 September 2013

ANGALIA PICHA ZAIDI uharibifu wa mvua dar

DSC 0021 f742f
DSC 0022 14c5b
DSC 0023 4dca7
DSC 0024 84ae1
DSC 0025 b53a6
DSC 0029 f1a78
DSC 0030 1cf2f
DSC 0032 619ab
DSC 0034 100af
DSC 0037 9e07c
DSC 0039 5707d
PICHA NA HUDUGU NG'AMILO.

Saturday, 28 September 2013

TUNAOMBA RADHI KWA KUTOKUWA NANYI KWA MUDA WA SIKU MBILI LAKINI KWA SASA ENDELEA KUPATA HABARI MBALIMBALI KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA KELVIN LAMECK-0753900496/0653800496.

JAHAZI TARENT CHOIR (JTC) INAMSHUKURU MUNGU KUWAWESHA KUREKODI ALBAMU YAO YA KWANZA INAYOKWENDA KWA JINA LA BUSTANI AMBAYO INA NYIMBO NANE.

HIVI SASA JAHAZI TALENT CHOIR WANATARAJIA KUTOA MKANDA WA VIDEO NA KAMA WEWE UNAGUSWA ZAIDI NA KAZI YA MUNGU WANAYOTARAJIA KUIFANYA BASI WAWEZA KUWASILIANA NA KATIBU WA KWAYA KWA SIMU NAMBA 0784-691783,0763-023811.

JAHAZI TARENT CHOIR WANAPATIKANA JIJINI MBEYA KATIKA KANISA LA KIINJILI LA KILUTHELI LILILOPO ISANGA JIJINI HUMO, KUMBUKA TWENDENI SHAMBANI MWA BWANA TUKAIFANYE KAZI YAKE BARIKIWA....

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI

DSC00260 
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya ACP Diwani Athumani
………………………………………………………………………………………………..
WILAYA YA  CHUNYA  – KUPATIKANA NA BHANGI.
MNAMO TAREHE 27/09/2013 MAJIRA YA  SAA 14:30HRS HUKO KATIKA KIJIJI CHA KARUNGU – MAKONGOLOSI  WILAYA YA  CHUNYA MKOA WA MBEYA.

Wakaguzi wa UN wa silaha za kemikali warejea Syria

sumu 644f4
Wakaguzi wa silaha za kemikali wa Umoja wa Mataifa wamerejea Syria kufanya uchunguzi wa matumizi ya silaha hizo zilizopigwa marufuku nchini humo wakati wa miaka miwili na nusu ya vita vya wenyewe kwa wenyewe. (HM)

Viongozo wa Dini wawaonya viongozi siasa;

viongoziwa_dini_4b67f.png
VIONGOZI wa dini waonya baadhi wanasiasa mbele ya waziri wa Afrika mashariki Bw Samweli Sitta kuwa vita na vurugu nchini zinasababishwa na wanasiasa wenye uchu wa kutaka kuingia Ikulu mwaka 2015.

Hassan Sheikh Mohamud; Rais Anayedhibiti Maeneo Jirani Na Ikulu.


shehki_871e3.jpg
Ni Rais wa Somalia. Kwa hakika, kwa sasa ndiye Rais wa nchi ya Kiafrika mwenye wakati mgumu sana. Na katika shida zake, Hassan Sheikh Mohamud ameonekana, si mara moja, akitua Dar Es Salaam, kwenye Ikulu ya JK. Kwa Hassan Sheikh Mohamud aliye matatizoni, kufunga safari ya Dar kwa JK ni kama kwenda kwa Obama! Kuna tofauti kubwa na Mogadishu.

50 wauawa kwenye ghasia Sudan

130927090205 sudan 512x288 d nocredit 831fd

Maafisa wa usalama nchini Sudan wamewaua watu 50 katika maandamano yaliyofanywa kwa siku kadhaa kupinga hatua ya serikali kuondoa ruzuku ya mafuta. Taarifa hii ni kwa mujibu wa mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini humo.

Baraza la Usalama laidhinisha azimio kuhusu Syria


syria_UN_fb37a.jpg
Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limeidhinisha azimio jana Ijumaa(27.09.2013)ambalo linataka kuondolewa kabisa kwa silaha za sumu nchini Syria lakini halitishii kuchukuliwa hatia za kuiadhibu serikali ya rais Bashar al-Assad iwapo haitatekeleza.

Obama azungumza na Rouhani

130928014601_obama_rouhani_304x171_afp_57e39.jpg
Kwa mara ya kwanza kwa zaidi ya miaka 30, viongozi wa Marekani na Iran wamezungumza moja kwa moja.

MSIGWA AMPONGEZA RAIS KIKWETE KWA MKAKATI WAKE WA KUPAMBANA NA UJANGILI

E84A9602_187c7.png
Na Francis Godwin Blog, Iringa
MBUNGE wa jimbo la Iringa mjini kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema)amempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa mkakati wake wa kunusuru vitendo vya ujangili katika hifadhi za Taifa.

Washtakiwa EPA jela miaka 13

Washtakiwa wa EPA, Bahati Mahenge (kulia), Manase Mwakale (katikati) wakiwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana, baada ya kuhukumiwa.Mahenge alihukumiwa kwenda jela miaka saba wakati Mwakale akihukumiwa miaka mitano. Picha na Venance Nestory 

Unyama wa Al-Shabaab wabainika ndani ya jengo

Mabaki ya jengo la Westgate lililoporomoka baada ya shambulizi la kigaidi jijini Nairobi, Kenya.Picha na Daily Mail 

Kwa ufupi
  • Taarifa zilizochapishwa na gazeti la Daily Mail la uingereza zikiwakariri wanausalama wa Kenya zinadai kuwa magaidi waliwatesa, kuwakata vidole, kuwanyofoa macho, kuwahasi wanaume na kisha kuwaning’iniza darini.

Kiama cha wauza unga chaja, faini kuondolewa, kifungo ni cha maisha

Madawa ya kulevya (Unga) yakiwa chini ya ulinzi 

Kwa ufupi
Sheria iliyopo sasa ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 1995 (Sura ya 95, Ibara ya 16) inasema, endapo mtu atakamatwa kwa kosa la kumiliki, kusafirisha, kuzalisha au kutengeneza mashine ya dawa za kulevya, atahukumiwa kifungo cha maisha jela au kulipa faini ya Sh10 milioni.

Monday, 23 September 2013

ABIRIA ZAIDI YA 50 WANUSURIKA KIFO Iringa

ajali 7f5dd
Lori la Kampuni ya Ivory lililogongana uso kwa uso na Basi la Sai baba (HM)
ajali2 a0dc1
Askari wa usalama barabarani Iringa wakilitazama basi la kampuni ya Sai - baba Express lenye namba za Usajili T 668 BCD ambalo liligongana uso kwa uso na lori la kampuni ya Ivori lenye namba T 280 ADK eneo la Kibwabwa katika barabara kuu ya Mbeya - Iringa jana na watu zaidi ya watatu kujeruhiwa vibaya na wengine zaidi ya 50 ambao ni abiria wa basi hilo kunusurika kifo
ajali3 f85f7
Abiria waliokuwa kwenye basi la sai baba. Chanzo: Francis Godwin


DCI Manumba: Tumejiandaa

 
 

Kwa ufupi
  • Alipotakiwa kutoa msimamo wa jeshi hilo iwapo taarifa hizo zitakuwa na ukweli alisema, “Jeshi tuko tayari kwa jambo lolote.”

JOHNSON JABIR MWANDISHI HABARI AVAMIWA, APIGWA NA MAPANGA, AJERUHIWA

ARUSHA: (JAIZMELALEO) - Maisha ni safari ndefu wadau wa JAIZMELALEO.
Siku zote mshukuru Mungu kwa kila jambo linapotokea katika maisha yako wala usiwe na hofu kabisa hata kama linauma kama nini LEAVE TO GOD.
Usiku wa kuamkia Septemba 22, 2013 katika mtaa wa Elkurei katika Kata ya Kiranyi, Arumeru mkoani Arusha wezi walinivamia na kunijeruhi haswa.
Walibeba vifaa vya kazi lakini kubwa zaidi ilikuwa ni kunitoa roho lakini Mwenyezi Mungu alininusuru kwa kunitia nguvu kupambana nao walikunja na marungu, visu na mapanga.
JINA LA BWANA LIBARIKIWE KWA YOTE.

Sunday, 22 September 2013

39 wauawa madukani Kenya, Al-Shabab yakiri kuhusika

Polisi wa Kenya akimuokoa mtoto, baada ya kundi la watu waliokuwa  na silaha kuvamia duka kubwa la bidhaa katika jengo la Wastgate, jijini Nairobi, jana na kuwaua zaidi ya 20 na wengine kuwajeruhi.
Kwa ufupi

Sunday, 8 September 2013

Kibano chamgeukia Ndugai 



Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai
*Yadaiwa alipewa maelekezo kuwabana wapinzani
*Profesa Lipumba adai uwezo wake bungeni mdogo

NAIBU Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amezidi kujiweka katika wakati mgumu, baada ya viongozi wa vyama vya upinzani kudai alipewa maelekezo na Serikali kupitisha Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Katiba. Kwa nyakati tofauti jana, viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama cha Wananchi (CUF), walisema ni wazi, Ndugai ameonekana kuwa na uwezo mdogo wa kuongoza Bunge, kutokana na kusababisha vurugu kubwa ndani ya ukumbi wa Bunge wiki iliyopita.

Mtoto amkatakata mamaye kinyama

Na Lilian Mkusa, Njombe
WIKI iliyopita katika Mtaa wa Maheve uliopo Kata ya Ramadhani mkoani Njombe yalitokea mauaji ya kutisha yanayomhusisha mtoto aliyemkatakata mama yake mzazi kwa shoka kutokana na kugombania mirathi.

Wazanzibari waliumbua Bunge

Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal(kulia), akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki mara baada ya kufungua Kongamano la Katiba Mpya na Nafasi ya Wazenjibara (Wazanzibari wanaoishi bara)

Makubwa zaidi yafichuka dawa za kulevya

Mhadhiri na Mtaalamu wa Saikolojia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Kitila Mkumbo 
Kwa ufupi
Kwa yule ambaye si mzoefu wa kutumia vilevi hivi huwezi kuuziwa, kwani kuna ishara ambazo hupeana ili kujua kama huyu ni mnunuaji au polisi.

JK azindua shule, x-ray Mwanza

 

Mwanza. Rais Jakaya Kikwete amefungua shule ya kisasa ya msingi ya Ntulya Wilaya ya Misungwi, iliyotolewa zawadi kwa wanakijiji na taasisi kutoka Marekani.

Maelfu hatarini kukosa mtihani kidato cha nne 2013


Kwa ufupi
Tayari Necta imetuma barua kwa watahiniwa hao kuwaeleza kuwa hawatafanya mtihani mwaka huu.

Dar es Salaam. 

Saturday, 7 September 2013

Kiini cha vurugu bungeni chabainika

 
Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni,Freeman Mbowe akizungumza kwenye kikao cha maamuzi ya pamoja  na Vyama vingine juu ya kususia mjadala wa Marerkebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Bungeni  juzi jioni.Kushoto ni Mbunge wa Mkanyageni,Hbib Mnyaa(CUF)na Mbunge wa Kuteuliwa NCCR Mageuzi,James Mbatia.Picha na Fidelis Felix

Friday, 6 September 2013

KCMC yamnasa daktari feki akiandaa upasuaji

 
Na Rehema Matowo
Kwa ufupi
Alikuwa wodi ya watoto akitaka kumfanyia upasuaji wa ngozi mmoja wa wagonjwa baada ya kuomba rushwa ya Shilingi 200,000.


Sheikh Azzan atakiwa kutibiwa nje

Sheikh Azzan Khalid Hamadan 
Kwa ufupi
  • Kamishna wa Chuo cha Mafunzo (Magereza) Zanzibar, Khalifa Hassan alisema wamelazimika kuomba mwongozo kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar (DPP) ambaye kwa niaba ya Serikali ndiye aliyemfungulia mashtaka.

Ghasia kubwa zalipuka kupinga muswada


Bunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi akidhibitiwa na Polisi Ndani ya Bunge wakati wa mdajadala wa Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.Picha na Fidelis Felix 



Mandela arudishwa nyumbani

Gari la kubebea wagonjwa likimrudisha nyumbani Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela jana
JOHANNESBURG, Afrika Kusini
SERIKALI ya Afrika Kusini imesema kuwa Rais wa zamani wa nchi hiyo, Nelson Mandela, ametolewa hospitali ambako amekuwa akitibiwa ugonjwa wa mapafu tangu Juni mwaka huu.

KESI DHIDI YA PINDA YAIVA

KESI ya kikatika iliyofunguliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kushirikiana na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) dhidi ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, inatarajiwa kuanza kuunguruma Septemba 16, mwaka huu katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

NI KIAMA: ATAFUNWA USO NA MWAJIRI WAKE NYUMBANI

  • KABLA ALIANZA KUNG'ATA ULIMI WA MBWA

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida mkazi wa Kijiji cha Nyabibuye Kakongo katika Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, Susuluka (16) anadaiwa kujeruhiwa vibaya usoni na bosi wake, Imani Paulo (36) kwa kung’atwa ng’atwa usoni na kisha kunyofolewa macho, pua na meno kubaki nje, kama ambavyo anaonekana pichani ukurasa wa mbele.

Mnigeria adakwa na dawa za kulevya Dar es Salaam

 
“Baada ya kumhoji ametueleza kuwa dawa hizo alizinunua maeneo ya Magomeni, kwa sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya uchunguzi na mahojiano zaidi.” Clemence Jingu 

Rais Kikwete aongoza mazishi ya Askofu Kulola

Waziri Mkuu aliyejiuzulu ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbroad Slaa jana wakati wa ibada ya mazishi ya Askofu Mkuu, Moses Kulola wa Kanisa la Evangelist Assemblies of God Tanzania (EAGT) aliyezikwa nje ya Kanisa la Calvary