MSEMAJI BLOG

Kwa habari kabambe kutoka kila kona ya dunia

Pages

▼

Sunday, 8 September 2013

MWILI WA MWANAMKE ALIEUWAWA KIUKATILI KAWE JIJINI WASAFIRISHWA KWA MAZISHI MKOANI DODOMA



001.YustaMwili wa Marehemu Yusta Mkali ukiwa tayari kwa kuagwa Hospital ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam,na kuanza kwa safari ya mazishi yatakayofanyika kijiji cha Nzasa  Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma. 002.YustaBaadhi ya wafanyakazi aliokuwa akifanya nao kazi wakitoa heshima za mwisho
003.YustaWakinamama wakilia kwa uchungu
004.YustaMtoto wa Marehemu Baraka Simon(12)akimuaga mama yake mzazi kabla ya safari ya kwenda mkoani Dodoma kwa mazishi kuanza aliemshikilia ni mama yake mkubwa Lucy Ngorido.
005.YustaJeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Yusta Mkali likifunikwa na kupandishwa kwenye gari tayari kwa kuanza safari ya kwenda mkoani Dodoma kwa mazishi yatakayofanyika hapo kesho. 006.YustaSafari imeanza
007Mtuhumiwa Musa Senkando ambaye bado anatafutwa na Polisi kwa mahojiano wananchi tunaomba msaada wenu kwani huyu anadaiwa kuhusika na kifo cha mawanamke huyo
Unknown at 09:30
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version
Powered by Blogger.