Washtakiwa EPA jela miaka 13
Washtakiwa wa EPA, Bahati Mahenge (kulia), Manase Mwakale (katikati)
wakiwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam
jana, baada ya kuhukumiwa.Mahenge alihukumiwa kwenda jela miaka saba
wakati Mwakale akihukumiwa miaka mitano. Picha na Venance Nestory
