Kibano chamgeukia Ndugai

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai
*Profesa Lipumba adai uwezo wake bungeni mdogo
NAIBU Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amezidi kujiweka katika wakati mgumu, baada ya viongozi wa vyama vya upinzani kudai alipewa maelekezo na Serikali kupitisha Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Katiba. Kwa nyakati tofauti jana, viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama cha Wananchi (CUF), walisema ni wazi, Ndugai ameonekana kuwa na uwezo mdogo wa kuongoza Bunge, kutokana na kusababisha vurugu kubwa ndani ya ukumbi wa Bunge wiki iliyopita.


Mwili
wa Marehemu Yusta Mkali ukiwa tayari kwa kuagwa Hospital ya
Mwananyamala jijini Dar es Salaam,na kuanza kwa safari ya mazishi
yatakayofanyika kijiji cha Nzasa Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma.
Baadhi ya wafanyakazi aliokuwa akifanya nao kazi wakitoa heshima za mwisho
Wakinamama wakilia kwa uchungu
Mtoto
wa Marehemu Baraka Simon(12)akimuaga mama yake mzazi kabla ya safari ya
kwenda mkoani Dodoma kwa mazishi kuanza aliemshikilia ni mama yake
mkubwa Lucy Ngorido.
Jeneza
lililobeba Mwili wa Marehemu Yusta Mkali likifunikwa na kupandishwa
kwenye gari tayari kwa kuanza safari ya kwenda mkoani Dodoma kwa mazishi
yatakayofanyika hapo kesho.
Safari imeanza