Pages

Sunday, 8 September 2013

Makubwa zaidi yafichuka dawa za kulevya

Mhadhiri na Mtaalamu wa Saikolojia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Kitila Mkumbo 
Kwa ufupi
Kwa yule ambaye si mzoefu wa kutumia vilevi hivi huwezi kuuziwa, kwani kuna ishara ambazo hupeana ili kujua kama huyu ni mnunuaji au polisi.

JK azindua shule, x-ray Mwanza

 

Mwanza. Rais Jakaya Kikwete amefungua shule ya kisasa ya msingi ya Ntulya Wilaya ya Misungwi, iliyotolewa zawadi kwa wanakijiji na taasisi kutoka Marekani.

Maelfu hatarini kukosa mtihani kidato cha nne 2013


Kwa ufupi
Tayari Necta imetuma barua kwa watahiniwa hao kuwaeleza kuwa hawatafanya mtihani mwaka huu.

Dar es Salaam. 

MWILI WA MWANAMKE ALIEUWAWA KIUKATILI KAWE JIJINI WASAFIRISHWA KWA MAZISHI MKOANI DODOMA


001.YustaMwili wa Marehemu Yusta Mkali ukiwa tayari kwa kuagwa Hospital ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam,na kuanza kwa safari ya mazishi yatakayofanyika kijiji cha Nzasa  Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma. 002.YustaBaadhi ya wafanyakazi aliokuwa akifanya nao kazi wakitoa heshima za mwisho
003.YustaWakinamama wakilia kwa uchungu
004.YustaMtoto wa Marehemu Baraka Simon(12)akimuaga mama yake mzazi kabla ya safari ya kwenda mkoani Dodoma kwa mazishi kuanza aliemshikilia ni mama yake mkubwa Lucy Ngorido.
005.YustaJeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Yusta Mkali likifunikwa na kupandishwa kwenye gari tayari kwa kuanza safari ya kwenda mkoani Dodoma kwa mazishi yatakayofanyika hapo kesho. 006.YustaSafari imeanza
007Mtuhumiwa Musa Senkando ambaye bado anatafutwa na Polisi kwa mahojiano wananchi tunaomba msaada wenu kwani huyu anadaiwa kuhusika na kifo cha mawanamke huyo

Saturday, 7 September 2013

Kiini cha vurugu bungeni chabainika

 
Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni,Freeman Mbowe akizungumza kwenye kikao cha maamuzi ya pamoja  na Vyama vingine juu ya kususia mjadala wa Marerkebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Bungeni  juzi jioni.Kushoto ni Mbunge wa Mkanyageni,Hbib Mnyaa(CUF)na Mbunge wa Kuteuliwa NCCR Mageuzi,James Mbatia.Picha na Fidelis Felix

Friday, 6 September 2013

KCMC yamnasa daktari feki akiandaa upasuaji

 
Na Rehema Matowo
Kwa ufupi
Alikuwa wodi ya watoto akitaka kumfanyia upasuaji wa ngozi mmoja wa wagonjwa baada ya kuomba rushwa ya Shilingi 200,000.


Sheikh Azzan atakiwa kutibiwa nje

Sheikh Azzan Khalid Hamadan 
Kwa ufupi
  • Kamishna wa Chuo cha Mafunzo (Magereza) Zanzibar, Khalifa Hassan alisema wamelazimika kuomba mwongozo kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar (DPP) ambaye kwa niaba ya Serikali ndiye aliyemfungulia mashtaka.