Makubwa zaidi yafichuka dawa za kulevya
Mhadhiri na Mtaalamu wa Saikolojia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Kitila Mkumbo
Kwa ufupi
Kwa yule ambaye si mzoefu wa kutumia vilevi hivi
huwezi kuuziwa, kwani kuna ishara ambazo hupeana ili kujua kama huyu ni
mnunuaji au polisi.


Mwili
wa Marehemu Yusta Mkali ukiwa tayari kwa kuagwa Hospital ya
Mwananyamala jijini Dar es Salaam,na kuanza kwa safari ya mazishi
yatakayofanyika kijiji cha Nzasa Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma.
Baadhi ya wafanyakazi aliokuwa akifanya nao kazi wakitoa heshima za mwisho
Wakinamama wakilia kwa uchungu
Mtoto
wa Marehemu Baraka Simon(12)akimuaga mama yake mzazi kabla ya safari ya
kwenda mkoani Dodoma kwa mazishi kuanza aliemshikilia ni mama yake
mkubwa Lucy Ngorido.
Jeneza
lililobeba Mwili wa Marehemu Yusta Mkali likifunikwa na kupandishwa
kwenye gari tayari kwa kuanza safari ya kwenda mkoani Dodoma kwa mazishi
yatakayofanyika hapo kesho.
Safari imeanza