Pages

Sunday, 18 August 2013

Mwanamke mwingine abakwa na kuchomekwa miti sehemu za siri


Ikiwa  ni  siku  chache  baada  ya  mwnamke  mmoja  mkazi  wa  kahama  kubabwa  na  kutobolewa  macho  huku  akichomekwa  kisu  sehemu  zake  za  siri, mitandao  ya  kinigeria  nayo  imeripoti  unyama  kama  huo.....


Kwa  mujibu  ya  mitandao  hiyo, unyama  huo  unadaiwa  kutendwa  kwa  binti  wa  miaka  23  ambaye  alibakwa  na  kundi  la  wanaume  na  kisha  kumchomeka  miti  sehemu  za  siri  na  kumtoboa  macho....

Thursday, 15 August 2013

MWANAFUNZI AVUNJWA KIUNO NA MWALIMU WAKE KWA KUCHAPWA VIBOKO MKOANI KIGOMA


Hizi ni picha  za  mtoto  Isumaili  Joseph  anaesadikika kutendewa kitendo cha kinyama kwa  kupigwa viboko kiunoni  na mwalimu wake  Mr. Nguige Joseph  Rukasi.
Na Meck Lameck

MANISPAA YA IRINGA YAMALIZA UTATA KATI YA MACHINGA NA POLISI ENEO LA MASHINE TATU YAGEUZA STENDI YA DALADALA

 Daladala  zikiwa  zikisubiri abiria  katika  stendi mpya  ya Mashine  tatu  katika Manispaa ya Iringa eneo  ambalo awali  machinga  walikuwa  wakilitaka kwa shughuli zao  siku za  jumapili
Na Meck Lameck

KERO YA MAJI YAWATESA WANANCHI WA KIJIJI CHA NJELENJE MBEYA

 
Na Esther Macha,wa matukiodaima.com  mbeya
WANANCHI wa Kata ya Mshewe  kijiji cha Njelenje Wilaya ya Mbeya wamelalamikia  kutokuwa na maji kwa muda wa miaka 10 licha  ya uongozi wa kata hiyo kuendelea kuwachangisha michango  ya mabomba wananchi hao .
Na Meck

ZAHANATI YA NJELENJE MBEYA LAWAMANI

 
 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussein Ali Mwinyi
...................................................................................................

LUGHA za  manyanyaso ambazo zinatumika na wauguzi wa Zahanati ya Njelenje Wilaya ya Mbeya zimewafanya wanawake wa kijiji  hicho kuamua kujifungulia majumbani kwao ili kukwepa matusi wanayotukanwa.

KONDA WA DALADALA IRINGA AFANYISHWA USAFI BAADA YA KUNASWA AKIJISAIDIA HADHARANI

 Kijana  anayefanya kazi ya  ukonda katika daladala  inayofanya safari  zake kati ya  Kitapilimwa - M.R miyomboni  Bw  Christipher Kinigo akifanya  usafi  wa  kuzoa  taka kwa  mikono baada ya  kunaswa  akijisaidia haja ndogo  katika  eneo hilo kinyume na sheria  za usafi  Manispaa ya  Iringa 
Na Meck Lameck

Wednesday, 14 August 2013

Waziri Mwakyembe akabidhi rasmi Ithibati ya mafunzo ya Mizigo hatarishi kwa NIT.

DSC_0693
Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe(aliyevaa tai nyekundu), akimsikiliza Mkuu wa Chuo Cha Taifa cha Usafirishani (NIT),Mhandisi Dk. Zacharia Mganilwa(kulia) jana kabla Waziri huyo hajakabidhi Ithibati ya Kuendeshea mafunzo ya wahudumiaji wa Mizigo hatarishi katika viwanja vya NIT. Kushoto  kwa Waziri wa Uchukuzi ni Mwenyektii wa Baraza la Uongozi wa chuo cha NIT, Ms. Priscilla J. Chilipweli.