Pages
Thursday, 4 September 2014
UHARIBIFU WA MAZINGIRA MTO NZOVWE MBEYA WAKITHIRI
Wananchi waishio maeneo ya mwakibete mjini hapa wameiomba serikali kuwachukulia hatua kali za kisheria dhidi ya watu wanaofanya shughuli zao katika mto nzovwe kwani kufanya hivyo ni uharibifu wa chanzo hicho cha maji pamoja na kuhatarisha afya za watumiaji wengine wa mto huo.
Wananchi waishio maeneo ya mwakibete mjini hapa wameiomba serikali kuwachukulia hatua kali za kisheria dhidi ya watu wanaofanya shughuli zao katika mto nzovwe kwani kufanya hivyo ni uharibifu wa chanzo hicho cha maji pamoja na kuhatarisha afya za watumiaji wengine wa mto huo.
Monday, 21 July 2014
newwwws
Chadema ngangari, yasisitiza kutoshiriki Bunge la Katiba

- Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salam jana, kuhusu maazimio ya Kamati Kuu ya Chama hicho, iliyokutana kwa siku mbili Dar es Salaam, Kushoto ni Katibu Mkuu wa chama hicho Dk. Wilbrod Slaa. Picha na Venance Nestor
Thursday, 12 December 2013
Jeshi la Polisi Singida laua majambazi wawili
WADAU TUNAOMBA RADHI KWA TASWIRA HII KAMA ITAKUKWAZA.

WATU
wawili wakazi wa manispaa ya Singida ambao majina yao bado
hayajajulikana,wakiwa kwenye Jokofu la kuhifadhia maiti baada ya kuuawa
wakati wa majibishano ya risasi na polisi.(Picha na Nathaniel Limu).
Kamanda
wa polisi mkoa wa Singida,SACP Geofrey Kamwela,akionyesha bunduki ya
kijeshi aina ya SMG no.34555 iliyokuwa ikitumiwa na watu wawili
wanaodhaniwa kuwa majamabazi katika kijiji cha Manga manispaa ya
Singida.(Picha na Nathaniel Limu).
Subscribe to:
Comments (Atom)



MBUNGE
wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), amesema asilimia 40
ya Baraza la Mawaziri limedumaa kwa sababu limeshindwa kutekeleza
majukumu yake.