Pages

Tuesday, 13 August 2013

Bilionea Msuya kuzikwa leo, jeneza lafunguliwa kwa ‘rimoti’

 
 

Kwa ufupi
  • Wafanyabiashara wanne wa Tanzanite waendelea kuhojiwa polisi, huku familia ikisema haitalipiza kisasi.


Polisi latangaza dau la Sh100 milioni

Suleiman Kova 
Na Bakari Kiango  (email the author)

Kwa ufupi
  • Kova alisema mtuhumiwa huyo ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Usafirishaji Mizigo (TALL), alikamatwa juzi saa 2:00 usiku maeneo ya Mbezi Beach, wilayani Kinondoni.

Yapinga polisi kutumia nguvu, yataka RPC Moro ajiuzulu

Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda akiwa na wakili wake, Juma Nassoro katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili (Moi), jijini Dar es Salaam jana. Picha na Venance Nestory 
Na Mwandishi Wetu na Mashirika,  (email the author)

Kwa ufupi
Ni Shilogile wa Morogoro, yataka apishe tume huru kuchunguza tukio hilo, Moi wakwepa kuzungumzia risasi

Sunday, 11 August 2013

Waingereza waliomwagiwa tindikali waitesa Serikali


  • Agosti 7, mwaka huu raia wawili wa Uingereza, Kate Gee (18) na Kirstie Trup (18) walimwagiwa tindikali katika maeneo ya Mji Mkongwe, Zanzibar na vijana wawili waliokuwa wakiendesha pikipiki aina ya Vespa, Waingereza hao wa walisafirishwa siku tatu zilizopita kurudi kwao kwa ajili ya matibabu.


Serikali yamgeuka Ulimboka
•  Yadai ameficha ushahidi wa kutekwa kwake

SIKU chache baada ya Mahakama ya Kisutu kumwachia mtu aliyedaiwa kumteka na kumtesa kiongozi wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk. Steven Ulimboka, serikali imemshukia daktari huyo na kudai ndiye chanzo cha kukwama kwa dola kukamata watu waliomteka.

TAARIFA TATA ZA PONDA,VYOMBO VYA NDANI NA NNJE VYATOFAUTIANA.

 
Sheikh Issa Ponda is understood to have survived the raid and was on the run but injured, police sources told The Daily Telegraph.

Saturday, 10 August 2013


JE WAJU KUWA?

KANISA LA SILOAM LIJULIKANALO KAMA SILOAM MINISTRY INTERNATIONAL

******************************
SASA LIMEWASILI WILAYANI LUDEWA KUMBUKA HUDUMA IPO CHINI YA NABII ELIYA WA KIZAZI CHA NNE.

*******************************

MAKAO MAKUU YA KANISA HILO YAPO MBEZI MAKONDE JIJINI DAR ES SALAAM


KAMA UMEFUNGWA NJOO UFUNGULIWE KWA: KUVUNJA MISINGI MIBOVU KAMA MAGONJWA,LAANA,UGUMBA,UTASA PAMOJA NA KUPATA MAFANIKIO YALIYO YA HALALI KABISAAAAAAAAAAAAAAAAA.


KANISA LIPO WILAYANI LUDEWA MKABALA NA BENKI YA WANANCHI NJOCOBA.

*****
NYOTE MNAKARIBISHWA