Pages

Thursday, 4 September 2014

Mwanafunzi atupiwa mapepo yalipuka ibadani



Ni ibaada iliyofanyika katika kanisa la moraviani ushirika wa Mbeya mjini Mchungaji wa kanisa hilo Godfrey Tinga na waombaji wapambana nayo ili kuyatoa kwa maombi


          Mwanafunzi ambae jina lake limehifadhiwa akigalagala chini baada ya kuangushwa na mapepo
 Mchungaji Godfrey Tinga paoja na waombaji na baadhi ya waumini wa kanisa hio wakipamabana na kijana ambae kapagawa na mapepo alipotaka kukimbia


                      Waumini wakimbeba kijana wakimpeleka ktika chumba maalumu kwa maombi
Na Meck Lameck

No comments:

Post a Comment