Pages

Saturday, 20 July 2013

AJALI MBAYA DODOMA

 WATU wanne wamefariki dunia huku wengine 10 wakijeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Najimunisha lililokuwa likitokea Dar es Saalam kwenda Mwanza kupasuka tairi la mbele na Kupinduka katika eneo la Mbande Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma LEO.

No comments:

Post a Comment