Pages

Sunday, 27 March 2016

Serikali Yaanda Muongozo wa Ajira kwa Vijana 

 

Kutokana na Tanzania kuwa na uchumi wa soko huria vijana wengi wameanza kushiriki katika sekta isiyo rasmi hivyo kunawafanya kuchangia nusu ya uchumi wa Taifa katika shughuli zao za kila siku.

Saturday, 27 June 2015

Msemaji wa wasemaji wasiokuwa na mahali pa kusemea" Mecck Lameck@ Baraka fm Mbeya

Mwandosya amuita Lowassa kambi yake

Profesa Mark Mwandosya, ambaye anawania kuteuliwa na CCM kugombea urais, amemtaka Edward Lowassa kujiunga na kambi yake kwa kuwa makada wengine wanne kwenye mbio hizo wanamuunga mkono.

Thursday, 4 September 2014

HOSPITALI 4 ZA HALMASHAURI ZA WILAYA MKOA WA MBEYA ZANUFAIKA NA MSAADA WA VIFAA ULIOTOLEWA NA AGA KHAN

 Mwenyekiti wa kamati ya afya Aga Khan Mbeya (kushoto)Sultan Thawer, akitoa taarifa kabla ya kukabidhi msaada wa vifaa vya tiba kwa Halmashauri nne za Mkoa wa Mbeya.

Mwanafunzi atupiwa mapepo yalipuka ibadani



Ni ibaada iliyofanyika katika kanisa la moraviani ushirika wa Mbeya mjini Mchungaji wa kanisa hilo Godfrey Tinga na waombaji wapambana nayo ili kuyatoa kwa maombi