Pages

Wednesday, 9 October 2013

Mfanyabiashara Arusha adai kumwagiwa tindikali


MFANYABIASHARA Japhet Minja amelazwa katika Hospitali ya Arusha Lutheran Centre (Seliani) jijini Arusha, baada ya kumwagiwa kimiminika kinachosadikiwa kuwa tindikali usoni na watu wasiojulikana.

Vurugu mgomo wa mabasi na malori

MGOMO wa malori na mabasi kupinga Sheria ya Barabara inayowataka wasiongeze mizigo kupita kiwango cha mwisho cha uzito, umeingia katika sura nyingine ambapo baadhi ya wasemaji wa wamiliki, wamewasingizia viongozi kuwa wamelegeza msimamo.

Mazishi ya kitaifa kwa wahamiaji Lampedusa

zzzzlampedusa_cuerpos_italia_304x171_reuters_nocredit_a7059.jpg
Serikali ya Utaliana itafanya mazishi ya kitaifa kwa mamia ya wahamiaji waliokufa maji baada ya boti walimokuwa wanasafiria kuzama katika bahari ya Meditarenia kisiwani Lampedusa wiki iliyopita.

Marubani wageni ‘wavamia’ soko la ajira Tanzania

MarubaniClip 0a0b9
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imesema ajira ya marubani wazalendo ipo mashakani kwa sababu ndege nyingi nchini, zinaongozwa na wageni.TCAA imesema hali hiyo imekuwa ikichangiwa na kampuni zinazotoa huduma hizo nchini, kutumia ndege nyingi za kukodi zinazofanya kazi chini ya masharti yanayotoa nafasi kubwa ya kuongozwa na marubani wa kigeni.(hd)

USALAMA ‘FEKI’ ANASWA MTEGONI



IMG 4926 e7e26