Pages

Wednesday, 9 October 2013

Mazishi ya kitaifa kwa wahamiaji Lampedusa

zzzzlampedusa_cuerpos_italia_304x171_reuters_nocredit_a7059.jpg
Serikali ya Utaliana itafanya mazishi ya kitaifa kwa mamia ya wahamiaji waliokufa maji baada ya boti walimokuwa wanasafiria kuzama katika bahari ya Meditarenia kisiwani Lampedusa wiki iliyopita.

Marubani wageni ‘wavamia’ soko la ajira Tanzania

MarubaniClip 0a0b9
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imesema ajira ya marubani wazalendo ipo mashakani kwa sababu ndege nyingi nchini, zinaongozwa na wageni.TCAA imesema hali hiyo imekuwa ikichangiwa na kampuni zinazotoa huduma hizo nchini, kutumia ndege nyingi za kukodi zinazofanya kazi chini ya masharti yanayotoa nafasi kubwa ya kuongozwa na marubani wa kigeni.(hd)

USALAMA ‘FEKI’ ANASWA MTEGONI



IMG 4926 e7e26

MULUGO ATAKA WALIOKOSA MIKOPO KUJISOMESHA

148 Philipo-Mulugo1 57d1b
Na Gladness Theonest
Serikali imewataka wanafunzi waliokosa mikopo kwa ajili ya masomo vyuo vikuu kurudi nyumbani na ikiwezekana wakauze viwanja au ng'ombe ili waweze kujisomesha kwani bajeti iliyopo haitoshi.

sakata la kodi ya simu

Fatma Karume 75d49
Wanasheria Fatma Karume (kulia) na Beatus Malima wanaowakilisha Chama cha Walaji nchini wakijadiliana na mawakili wa Serikali, Alesia Mbuya (wa pili kushoto) baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuahirisha kesi ya kupinga kukatwa kodi ya Sh, 1,000 kwa kila simcard ambayo ilipitishwa na Bunge la Bajeti la mwaka huu wa fedha wa 2013/149 (hd)