Pages

Wednesday, 9 October 2013

MULUGO ATAKA WALIOKOSA MIKOPO KUJISOMESHA

148 Philipo-Mulugo1 57d1b
Na Gladness Theonest
Serikali imewataka wanafunzi waliokosa mikopo kwa ajili ya masomo vyuo vikuu kurudi nyumbani na ikiwezekana wakauze viwanja au ng'ombe ili waweze kujisomesha kwani bajeti iliyopo haitoshi.

sakata la kodi ya simu

Fatma Karume 75d49
Wanasheria Fatma Karume (kulia) na Beatus Malima wanaowakilisha Chama cha Walaji nchini wakijadiliana na mawakili wa Serikali, Alesia Mbuya (wa pili kushoto) baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuahirisha kesi ya kupinga kukatwa kodi ya Sh, 1,000 kwa kila simcard ambayo ilipitishwa na Bunge la Bajeti la mwaka huu wa fedha wa 2013/149 (hd)

Monday, 7 October 2013

Tundu Lissu amjibu JK

siku-tundu-lisu-alipokutana-na-jk-ikulu-jijini-dar-es-salaam_f685e.jpg
Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu amesema hotuba ya kila mwezi ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa siku tatu zilizopita, imejaa maneno mengi ya kuambiwa hasa kuhusu mchakato wa Katiba Mpya, ikiwa ni pamoja na uteuzi alioufanya wa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Mbunge ajitoa ujumbe bodi ya CDA kupinga bomoabomoa

 mji fa4dc
NA JACQUELINE MASSANO
Mbunge wa Dodoma Mjini, David Malolle (CCM), ametangaza rasmi kujitoa kwenye ujumbe wa Bodi ya Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) na kuwataka wananchi kuandamana ili mamlaka hiyo ifutwe kwani imekuwa ikibomoa mji na si kuuboresha.(hd)

Kauli ya serikali Juu ya mgomo wa Wasafirishaji


Picha_1_1fb96.jpg
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akisisitiza jambo kuhusu mgomo uliopangwa kufanywa na wadau wa usafirishaji nchini wakati akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar Es Salaam

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI YAshinda VIKOMBE VITATU NA MEDALI TATU-SHIMI​WI DODOMA

PIX 1 ede04

Wednesday, 2 October 2013

VURUGU KUBWA ZIMEZUKA TENA WAKATI WAFANYABIASHARA WAKISUBILI MKUTANO WAKATI HUU ENDELEA KUFUATILIA MTANDAO HUU KWA TAARIFA ZAIDI.

Wafanya Biashara wakiwa wanajiandaa kusikiliza mkutano muda mchache uliopita na Ghafla vurugu kuzuka tena ....