Pages

Saturday, 28 September 2013

TUNAOMBA RADHI KWA KUTOKUWA NANYI KWA MUDA WA SIKU MBILI LAKINI KWA SASA ENDELEA KUPATA HABARI MBALIMBALI KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA KELVIN LAMECK-0753900496/0653800496.

JAHAZI TARENT CHOIR (JTC) INAMSHUKURU MUNGU KUWAWESHA KUREKODI ALBAMU YAO YA KWANZA INAYOKWENDA KWA JINA LA BUSTANI AMBAYO INA NYIMBO NANE.

HIVI SASA JAHAZI TALENT CHOIR WANATARAJIA KUTOA MKANDA WA VIDEO NA KAMA WEWE UNAGUSWA ZAIDI NA KAZI YA MUNGU WANAYOTARAJIA KUIFANYA BASI WAWEZA KUWASILIANA NA KATIBU WA KWAYA KWA SIMU NAMBA 0784-691783,0763-023811.

JAHAZI TARENT CHOIR WANAPATIKANA JIJINI MBEYA KATIKA KANISA LA KIINJILI LA KILUTHELI LILILOPO ISANGA JIJINI HUMO, KUMBUKA TWENDENI SHAMBANI MWA BWANA TUKAIFANYE KAZI YAKE BARIKIWA....

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI

DSC00260 
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya ACP Diwani Athumani
………………………………………………………………………………………………..
WILAYA YA  CHUNYA  – KUPATIKANA NA BHANGI.
MNAMO TAREHE 27/09/2013 MAJIRA YA  SAA 14:30HRS HUKO KATIKA KIJIJI CHA KARUNGU – MAKONGOLOSI  WILAYA YA  CHUNYA MKOA WA MBEYA.

Wakaguzi wa UN wa silaha za kemikali warejea Syria

sumu 644f4
Wakaguzi wa silaha za kemikali wa Umoja wa Mataifa wamerejea Syria kufanya uchunguzi wa matumizi ya silaha hizo zilizopigwa marufuku nchini humo wakati wa miaka miwili na nusu ya vita vya wenyewe kwa wenyewe. (HM)

Viongozo wa Dini wawaonya viongozi siasa;

viongoziwa_dini_4b67f.png
VIONGOZI wa dini waonya baadhi wanasiasa mbele ya waziri wa Afrika mashariki Bw Samweli Sitta kuwa vita na vurugu nchini zinasababishwa na wanasiasa wenye uchu wa kutaka kuingia Ikulu mwaka 2015.

Hassan Sheikh Mohamud; Rais Anayedhibiti Maeneo Jirani Na Ikulu.


shehki_871e3.jpg
Ni Rais wa Somalia. Kwa hakika, kwa sasa ndiye Rais wa nchi ya Kiafrika mwenye wakati mgumu sana. Na katika shida zake, Hassan Sheikh Mohamud ameonekana, si mara moja, akitua Dar Es Salaam, kwenye Ikulu ya JK. Kwa Hassan Sheikh Mohamud aliye matatizoni, kufunga safari ya Dar kwa JK ni kama kwenda kwa Obama! Kuna tofauti kubwa na Mogadishu.

50 wauawa kwenye ghasia Sudan

130927090205 sudan 512x288 d nocredit 831fd

Maafisa wa usalama nchini Sudan wamewaua watu 50 katika maandamano yaliyofanywa kwa siku kadhaa kupinga hatua ya serikali kuondoa ruzuku ya mafuta. Taarifa hii ni kwa mujibu wa mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini humo.