Pages

Wednesday, 4 September 2013

Rwanda yajitetea kuhusu ushuru

 
Kwa ufupi
Ni ule wa kupandisha tozo za magari iliyopandishwa na nchi hiyo kwa madai ya kufanya ulinganifu

Dar es Salaam/Dodoma. Wakati ushuru wa magari makubwa ukiwa umeshushwa kwa wiki moja, Serikali ya Rwanda imejitetea ikisema haijafanya hujuma yoyote dhidi ya Tanzania, bali imepandisha tozo hiyo ili kuifanya ilingane na ile inayolipwa Tanzania.

Mahakama yaruka shutuma kuwaachia washtakiwa dawa za kulevya ‘kiaina’

 
Kwa ufupi
  • Akizungumza na waandishi wa habari jana, ofisini kwake, Jaji Jundu alikanusha tuhuma hizo akisema kuwa majaji na mahakimu wamekuwa wakitoa uamuzi kwa kuzingatia ushahidi na misingi ya kisheria.

Kibanda, Mwigamba wajitetea


Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tido Mhando (katikati), akifurahia jambo na Meneja Uendelezaji Biashara, Theophil Makunga na Mwanasheria MCL, Doris Marealle nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana, kabla ya kuanza kwa kesi ya uchochezi inayomkabili Makunga na wenzake wawili.

‘Mvua za Lowassa’ zagonganisha mawaziri

 


  • Malumbano hayo yalisababishwa na swali la nyongeza la Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Susan Lyimo ambaye alihoji mpango wa kutengeneza mvua ulipoishia kwa kuwa Serikali imekuwa kimya.

Wabunge Z’bar wakwamisha Muswada wa kura za Maoni

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk Terezya Huviza akijibu swali bungeni Dodoma jana.
Kwa ufupi
  • Wao wanasema masuala ya kura ya maoni siyo ya Muungano kwa sababu wao tayari wana sheria yao ya kura ya maoni. Sasa wanahoji inakuwaje sheria hii itumike tena hadi Zanzibar?

Sunday, 1 September 2013

Dk. Slaa awasilisha maboksi 17

YANAHUSU MAONI YA 
 
KATIBA,
 
 WARIOBA 
 
AGOMA
TUME ya kukusanya maoni ya Katiba mpya inayoongozwa na Jaji mstaafu, Joseph Warioba, jana imegoma kupokea maboksi 17 ya maoni yaliyokusanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na badala yake ikapokea vitabu viwili vya randama kwa ajili ya maoni hayo.

ZIARA YA VIONGOZI WA CCM WILAYA YA MAKETE YAZIDI KUIBUA MENGI"

Katibu wa CCM wilaya ya Makete Miraji Mtaturu (kulia) akizungumza katika ziara ya kukagua maendeleo ya shule ya msingi Nkenja wilayani Makete, kushoto kwake ni mwenyekiti wa chama hicho wilaya ya Makete Francis Chaula(Picha zote na Edwin Moshi)