Pages

Friday, 30 August 2013

Majambazi yapora Sh900 milioni benki asubuhi

Suleiman Kova 
Kwa ufupi
  • Alisema mmoja wa majambazi hao alikuwa ni mtu mwenye asili ya Asia na kwamba walikuwa wakizungumza Kiingereza kuwasiliana.

Saa 4 zawatenganisha pacha walioungana

Daktari Bingwa wa Watoto katika Hospitali ya Muhimbili, Profesa Karim Manji (wa pili kushoto) akifurahia na wenzake baada ya kufanikiwa kwa operesheni ya kuwatenganisha watoto walioungana, kazi iliyofanywa na jopo la madaktari bingwa saba kwa saa 4.

IGP asafisha vigogo Uwanja wa Ndege

IGP Said Mwema 
Kwa ufupi
  • Amhamisha kamanda na msaidizi wake, ni siku chache baada ya kuibuka kwa kashfa ya dawa za kulevya, kamanda wa Mtwara naye arudishwa makao makuu 

Thursday, 29 August 2013

BREAKING NEWS....ASKOFU KULOLA AFARIKI DUNIA


Wabunge wa Tanzania nao wasusia kikao EALA

 
Kwa ufupi
Jana ilikuwa ni mara ya pili wenzetu, kudharau kiti cha Spika na kutaka kutoa hoja na kujadiliwa bila kufuata kanuni, sasa tumeona ni vizuri na sisi kwa kupinga kuvunjwa kanuni, tutoke ili kuonyesha tunapinga mchezo huu.

Watu 13 wafariki ajalini Kahama


Suleiman Kova 
Kwa ufupi
Ajali hiyo ilikuja baada ya gari walilokuwa wakisafiria, kuligonga gari lililokuwa limeharibika katikati ya barabara.

Ponda asimamisha shughuli Morogoro

Sheikhe Ponda Issa Ponda akiwa chini ya ulinzi wa askari magereza wakati akielekea katika mahakama ya hakimu mkazi Morogoro kusikiliza kesi yake inayomkabili.
Kwa ufupi
  • Alifikishwa mahakamani hapo saa 4:10 asubuhi akiwa katika basi la Magereza ambalo lilisindikizwa na jingine dogo, huku magari mengine yakisimamishwa kupisha msafara huo.