Pages

Friday, 30 August 2013

IGP asafisha vigogo Uwanja wa Ndege

IGP Said Mwema 
Kwa ufupi
  • Amhamisha kamanda na msaidizi wake, ni siku chache baada ya kuibuka kwa kashfa ya dawa za kulevya, kamanda wa Mtwara naye arudishwa makao makuu 

Thursday, 29 August 2013

BREAKING NEWS....ASKOFU KULOLA AFARIKI DUNIA


Wabunge wa Tanzania nao wasusia kikao EALA

 
Kwa ufupi
Jana ilikuwa ni mara ya pili wenzetu, kudharau kiti cha Spika na kutaka kutoa hoja na kujadiliwa bila kufuata kanuni, sasa tumeona ni vizuri na sisi kwa kupinga kuvunjwa kanuni, tutoke ili kuonyesha tunapinga mchezo huu.

Watu 13 wafariki ajalini Kahama


Suleiman Kova 
Kwa ufupi
Ajali hiyo ilikuja baada ya gari walilokuwa wakisafiria, kuligonga gari lililokuwa limeharibika katikati ya barabara.

Ponda asimamisha shughuli Morogoro

Sheikhe Ponda Issa Ponda akiwa chini ya ulinzi wa askari magereza wakati akielekea katika mahakama ya hakimu mkazi Morogoro kusikiliza kesi yake inayomkabili.
Kwa ufupi
  • Alifikishwa mahakamani hapo saa 4:10 asubuhi akiwa katika basi la Magereza ambalo lilisindikizwa na jingine dogo, huku magari mengine yakisimamishwa kupisha msafara huo.

Wednesday, 28 August 2013


Lukuvi: Wabunge wengi wamo orodha ya dawa za kulevya


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi 
Na Habel Chidawali  (email the author)
Kwa ufupi
  • Lakini asema Serikali haiwezi kukurupuka kuwataja kwa kuwa haina ushahidi wa kutosha

Sunday, 25 August 2013


Kamati Kuu yamzuia Kagasheki kushiriki siasa mkoani Kagera

Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (kushoto) akisalimiana na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta wakati wa uzinduzi wa Baraza la Wazee la Ushauri la CCM, mjini Dodoma jana.