Mchakato wa kumrejesha Alex Massawe waiva
mfanyabiashara maarufu Alex Massawe, anayetafutwa na vyombo vya usalama
Kwa ufupi
Hati hiyo ilitolewa juzi na Hakimu Mkazi Geni Dudu,
kufuatia maombi ya Jamhuri, yaliyotolewa na Wakili Mwandamizi wa
Serikali Tumaini Kweka, baada ya kumfungulia kesi ya jinai.