Pages

Tuesday, 20 August 2013

Ukatili huu utaisha lini?

KUCHOMWAMOTOSONGEA 64665
Fikiri Hausi mwanafunzi wa darasa la tatu katika shule ya msingi ya majengo manispaa ya Songea akiwa amelazwa Hospitali ya mkoa baada ya kuunguzwa na mama yake. Jeshi la polisi lina endelea kumtafuta mama wa mtoto huyo(Picha: Songea habari)
MKONOULIOUNGUZWA bb7f1
huu ni mkono wa Fikiri akiwa hospitali kwa matibabu
P.T

WAKAZI WA GAIRO WAJITOKEZA KWA WINGI KWENYE MKUTANO WA BARAZA LA KATIBA

JK ataka vyuo vikuu nchini kudahili wanafunzi wengi


Rais Jakaya Kikwete 
Na Meck Lameck
Kwa ufupi
  • Asema idadi inayodahiliwa ni ndogo, ikilinganishwa na nchi jirani.

Wakurugenzi 70 vinara mtandao wa ufisadi

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda 
Kwa ufupi
  • Ukiangalia kesi zilizoko mahakamani ambazo upelelezi wake bado unaendelea utaona wazi kuwa Takukuru ni miongoni mwa watu wanaopokea rushwa, jambo ambalo limesababisha kuchelewesha upelelezi au kupindisha ukweli

NJOMBE
Jamii wilayani Ludewa mkoani Njombe, imetakiwa kutoa ushirikiano katika kipindi hiki cha ujenzi wa barabara unaoendelea kuanzia Ludewa maeneo ya Kilimahewa mjini Ludewa hadi kijiji cha Lupingu.
Na Festus Pangan
BREAKING NEWSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS
MBEYA
MTOTO WA KIKE ALIYEFAHAMIKA KWA JINA MOJA HADIJA  ANAYEKADILIWA KUWA NA UMRI WA MIAKA 8 AMEGONGWA NA GARI AINA YA TAXI T 220 AZN, KATIKA ENEO LA MSIKITINI-ISANGA JIJINI MBEYA, HUKU CHANZO KIKIDAIWA KUWA DEREVA WA GARI HILO ALIKUWA AKIENDESHA KWA MWENDO KASI HUKU AKIWA AMELEWA KWA TAARIFA ZAIDI ENDELEA KUFUATILIA BLOG HII........ 

AMRI YA MWAKYEMBE JNIA YATEKELEZWA

Na Goodluck Hongo
SAKATA la maofisa wanne waliotajwa na Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe kuhusika na kupitisha dawa za kulevya kilo 150 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) limeendelea kutekelezwa baada ya maofisa hao kukabidhiwa barua zao rasmi.