Ponda Dar mpaka Moro kwa Helikopta
Helikopta ya polisi iliyombeba Katibu wa Jumuia na Taasisi za Kiislamu
Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ikiwa katika Uwanja wa Gymkhana mkoani
Morogoro baada ya kumfikisha kiongozi huyo kwa ajili ya kupelekwa
kusomewa mashtaka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani humo jana.Picha
na Juma Mtanda
Na Meck Lameck




