KONDA WA DALADALA IRINGA AFANYISHWA USAFI BAADA YA KUNASWA AKIJISAIDIA HADHARANI
Kijana anayefanya kazi ya ukonda
katika daladala inayofanya safari zake kati ya Kitapilimwa - M.R
miyomboni Bw Christipher Kinigo akifanya usafi wa kuzoa taka kwa
mikono baada ya kunaswa akijisaidia haja ndogo katika eneo hilo
kinyume na sheria za usafi Manispaa ya Iringa
Na Meck Lameck

