Pages

Thursday, 12 December 2013

Jeshi la Polisi Singida laua majambazi wawili

WADAU TUNAOMBA RADHI KWA TASWIRA HII KAMA ITAKUKWAZA.
DSC04892
WATU wawili wakazi wa manispaa ya Singida ambao majina yao bado hayajajulikana,wakiwa kwenye Jokofu la kuhifadhia maiti baada ya kuuawa wakati wa majibishano ya risasi na polisi.(Picha na Nathaniel Limu).
DSC04895
DSC04903
Kamanda wa polisi mkoa wa Singida,SACP Geofrey Kamwela,akionyesha bunduki ya kijeshi aina ya SMG no.34555  iliyokuwa ikitumiwa na watu wawili wanaodhaniwa kuwa majamabazi katika kijiji cha Manga manispaa ya Singida.(Picha na Nathaniel Limu).

Msigwa: Baraza la Mawaziri limedumaa

Peter MsigwaMBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), amesema asilimia 40 ya Baraza la Mawaziri limedumaa kwa sababu limeshindwa kutekeleza majukumu yake.

Aliyekuwa DC Mbozi ajiunga CHADEMA

Gabriel Kimollo
ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Gabriel Kimollo amejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Wakazi wa jiji la mbeya wametakiwa kulinda vyanzo vya maji ili kuondokana na tatizo la uhaba wa maji uliopo hivi sasa.

mkurugenzi wa mamlaka ya maji mkoani mbeya Simion  aliongozana na madiwani wa kata ya IGANZO,Mh USWEGE FULIKA na diwani wa kata ya Mwansekwa GASPER NGONELA ambapo wameitaka mamlaka kuzidi kutoa elimu kwa wananchi wanao zunguka vyanzo vya maji.
WADAU WA NISHATI YA UMEME WA MAPOROMOKO YA MAJI NJOMBE WAAHIDI KUFANYA MAKUBWA BAADA YA MAFUNZO.

Wadau wa Nishati ya Umeme wa Maporomoko Madogo ya Umeme Wanaoendelea na Mafunzo Yao ya Wiki Mbili Mjini Njombe Wamesema Tatizo la Fedha Ili Kuendleza Miradi Yao Imekuwa ni Kikwazo Kikubwa Kwao Ili Kusogeza Huduma Kwa Wananchi

Serikali, Tume ya Uchaguzi wavutana



Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi.PICHA|MAKTABA  
Dar es Salaam. Wakati Serikali ikisema Daftari la Kudumu la Wapigakura litaboreshwa kwa ajili ya kura za maoni ya Katiba Mpya, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imesema haina mpango huo kwa sababu muda uliobaki ni mfupi.
Badala yake Nec imesema inajiandaa kuboresha daftari hilo kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2014 na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 ili kuingiza wale wote waliotimiza miaka 18 baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.

ANC walaani Zuma kuzomewa, wananchi wadai alistahili hilo


Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma.PICHA|MAKTABA  
Johannesburg.Chama Tawala cha Afrika Kusini, Africa National Congress (ANC) kimekasirishwa na kuzomewa kwa Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma wakati wa Ibada ya kitaifa ya heshima za mwisho kwa rais wake wa kwanza mzalendo, Mzee Nelson Mandela.

Ni vilio vitupu A. Kusini



Mjane wa Rais wa Kwanza Mazalendo wa Afrika Kusini, Graca Machel akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa mumewe katika Ikulu ya Pretoria nchini humo jana. Picha na AFP  

Pretoria: Familia ya Rais wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela jana iliongoza utoaji wa heshima za mwisho kwa mwili wa kiongozi huyo, katika tukio ambalo limebadili mwelekeo wa maombolezo tangu alipofariki dunia, Desemba 5, mwaka huu.

Jeshi la Polisi Singida laua majambazi wawili

WADAU TUNAOMBA RADHI KWA TASWIRA HII KAMA ITAKUKWAZA.
DSC04892
WATU wawili wakazi wa manispaa ya Singida ambao majina yao bado hayajajulikana,wakiwa kwenye Jokofu la kuhifadhia maiti baada ya kuuawa wakati wa majibishano ya risasi na polisi.(Picha na Nathaniel Limu).
DSC04895
DSC04903
Kamanda wa polisi mkoa wa Singida,SACP Geofrey Kamwela,akionyesha bunduki ya kijeshi aina ya SMG no.34555  iliyokuwa ikitumiwa na watu wawili wanaodhaniwa kuwa majamabazi katika kijiji cha Manga manispaa ya Singida.(Picha na Nathaniel Limu).

Sunday, 8 December 2013