Seif apongeza mkutano wa JK na vyama
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar,
Maalim Seif Sharif Hamad, amempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kuzungumza
na vyama vya siasa kuhusu Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko
ya Katiba 2013, akisema ametumia njia sahihi kabisa.
