Watanzania Watakiwa Kutumia Takwimu Zinazotokana na Sensa Mbalimbali Kujiletea Maendeleo
Na: Lilian Lundo – MAELEZO, Dodoma.
Waziri
wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina amewataka Watanzania kutumia
takwimu za sensa mbalimbali zinazotolewa na ofisi ya Taifa ya Takwimu
ili kuongeza tija na hatimaye kupunguza umasikini nchini.






