Ndoo Walizobeba Kigogo wa Zamani wa TRA na Miss Tanzania Wakati Wakipelekwa Gerezani Zaibua Utata
Kitendo
cha aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry
Kitilya pamoja na maofisa wawili waandamizi wa zamani wa Benki ya
Stanbic, Tawi la Tanzania, Sioi Solomoni na Shose Sinare kubeba ndoo
wakati wakitoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuelekea mahabusu,
kimezua maswali mengi.





