Pages
Tuesday, 29 March 2016
Askari wa Zimamoto Wanusurika Kupigwa Baada ya Kuchelewa Kufika Eneo la Tukio
Askari
wa Kikosi cha Zimamoto, Manispaa ya Shinyanga wamenusurika kipigo
kutoka kwa wananchi wa mtaa wa Banduka, kata ya Ndala mjini hapa, baada
ya kuchelewa kufika kwenye tukio la nyumba kuungua moto ikiwa na watoto
ndani yake.
Rais Magufuli Atoa Hati Ya Kiwanja Chenya Ukubwa wa Hekari 5 Kwa Bohari Ya Dawa (MSD)
RAIS
Dk. John Magufuli kupitia Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi
ametoa kiwanja chenye ukubwa wa ekari 5 kwa Bohari ya Dawa (MSD)
kilichopo Luguluni nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, kwa ajili ya
ujenzi wa Bohari ya Dawa ili kuondoa upotevu wa fedha kwa maghala ya
kukodi.
Wafanyakazi watatu TANESCO Watiwa Mbaroni Kufuatia Kifo cha Mfanyakazi Mwenzao Aliyenaswa na Umeme Juu ya Nguzo
Wafanyakazi watatu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) mkoani Morogoro,
wanashikiliwa na Polisi wakihojiwa kutokana na kifo cha mfanyakazi
mwenzao, Deo Elias (30), mkazi wa Mazimbu, Manispaa ya Morogoro kwa
kunaswa na umeme juu ya nguzo.
Subscribe to:
Comments (Atom)



