Askari wa Zimamoto Wanusurika Kupigwa Baada ya Kuchelewa Kufika Eneo la Tukio
Askari
wa Kikosi cha Zimamoto, Manispaa ya Shinyanga wamenusurika kipigo
kutoka kwa wananchi wa mtaa wa Banduka, kata ya Ndala mjini hapa, baada
ya kuchelewa kufika kwenye tukio la nyumba kuungua moto ikiwa na watoto
ndani yake.



