Rais Magufuli Atoa Hati Ya Kiwanja Chenya Ukubwa wa Hekari 5 Kwa Bohari Ya Dawa (MSD)
RAIS
Dk. John Magufuli kupitia Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi
ametoa kiwanja chenye ukubwa wa ekari 5 kwa Bohari ya Dawa (MSD)
kilichopo Luguluni nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, kwa ajili ya
ujenzi wa Bohari ya Dawa ili kuondoa upotevu wa fedha kwa maghala ya
kukodi.




