Pages
Tuesday, 29 March 2016
Monday, 28 March 2016
20 Watiwa Mbaroni Wakituhumiwa Kumpiga Mawe Ofisa wa JWTZ Aliyemgonga Mtembea Kwa Miguu
Polisi mkoani Ruvuma inawashikilia waendesha bodaboda 20 Manispaa ya
Songea wanaodaiwa kumshambulia askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania
(JWTZ) Kikosi cha 411 KJ Ruhuwiko, kwa kupiga mawe gari alilokuwa
akiendesha baada ya kumgonga mtembea kwa miguu.
RADHI
TUNAOMBA RADHI KWANI TUPO KWENYE MAREKEBISHO ILI KUBORESHA UTOAJI WA HUDUMA ZETU, ENDELEA KUTUFUATILIA. BY MWANGA WA JAMII BLOGSPORT
Subscribe to:
Comments (Atom)




