Pages

Monday, 28 March 2016

Rais Magufuli Amuapisha Mkuu Wa Mkoa Mpya Wa Songwe Mhe. Chiku Gallawa Ikulu Dar Es Salaam 


RADHI

TUNAOMBA RADHI KWANI TUPO KWENYE MAREKEBISHO ILI KUBORESHA UTOAJI WA HUDUMA ZETU, ENDELEA KUTUFUATILIA. BY MWANGA WA JAMII BLOGSPORT

Sunday, 27 March 2016

Rais Magufuli aitakia heri Taifa Stars dhidi ya Chad 

 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameitakia heri timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) katika mchezo wake dhidi ya Timu ya Taifa ya Chad, utakaofanyika katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es salaam, kesho tarehe 28 Machi, 2016. 

Rais Magufuli Awataka Watanzania kuwa Wamoja 

 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasihi watanzania kuendelea kuwa wamoja na kushirikiana kuijenga nchi yao, badala ya kubaguana.

Serikali Yaanda Muongozo wa Ajira kwa Vijana 

 

Kutokana na Tanzania kuwa na uchumi wa soko huria vijana wengi wameanza kushiriki katika sekta isiyo rasmi hivyo kunawafanya kuchangia nusu ya uchumi wa Taifa katika shughuli zao za kila siku.

Saturday, 27 June 2015

Msemaji wa wasemaji wasiokuwa na mahali pa kusemea" Mecck Lameck@ Baraka fm Mbeya