UHARIBIFU WA MAZINGIRA MTO NZOVWE MBEYA WAKITHIRI
Wananchi waishio maeneo ya mwakibete mjini hapa wameiomba serikali kuwachukulia hatua kali za kisheria dhidi ya watu wanaofanya shughuli zao katika mto nzovwe kwani kufanya hivyo ni uharibifu wa chanzo hicho cha maji pamoja na kuhatarisha afya za watumiaji wengine wa mto huo.
Wananchi waishio maeneo ya mwakibete mjini hapa wameiomba serikali kuwachukulia hatua kali za kisheria dhidi ya watu wanaofanya shughuli zao katika mto nzovwe kwani kufanya hivyo ni uharibifu wa chanzo hicho cha maji pamoja na kuhatarisha afya za watumiaji wengine wa mto huo.




MBUNGE
wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), amesema asilimia 40
ya Baraza la Mawaziri limedumaa kwa sababu limeshindwa kutekeleza
majukumu yake.