Pages

Thursday, 4 September 2014

UHARIBIFU WA MAZINGIRA MTO NZOVWE MBEYA WAKITHIRI

Wananchi waishio maeneo ya mwakibete mjini hapa wameiomba serikali kuwachukulia hatua kali za kisheria dhidi ya watu wanaofanya shughuli zao katika mto nzovwe kwani kufanya hivyo ni uharibifu wa chanzo hicho cha maji pamoja na kuhatarisha afya za watumiaji wengine wa mto huo.

Monday, 21 July 2014

MECK LAMECK BLOG. TUNAOMBA RADHI KWA KUTOKUWA PAMOJA NAWE KWA KWA MDA MREFU LAKINI HIYO ILIKUWA NI KATIKA KUJIPANGA NA SASA TUMEKUJA KWA SPEED YA AJABUUUUUU PATA HABARI KABAMBE KUTOKA KILA KONA YA DUNIA.
By MECK LAMECK.

newwwws

Chadema ngangari, yasisitiza kutoshiriki Bunge la Katiba



  • Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salam jana, kuhusu maazimio ya Kamati Kuu ya Chama hicho, iliyokutana kwa siku mbili Dar es Salaam, Kushoto ni Katibu Mkuu wa chama hicho Dk. Wilbrod Slaa. Picha na Venance Nestor 

Thursday, 12 December 2013

Jeshi la Polisi Singida laua majambazi wawili

WADAU TUNAOMBA RADHI KWA TASWIRA HII KAMA ITAKUKWAZA.
DSC04892
WATU wawili wakazi wa manispaa ya Singida ambao majina yao bado hayajajulikana,wakiwa kwenye Jokofu la kuhifadhia maiti baada ya kuuawa wakati wa majibishano ya risasi na polisi.(Picha na Nathaniel Limu).
DSC04895
DSC04903
Kamanda wa polisi mkoa wa Singida,SACP Geofrey Kamwela,akionyesha bunduki ya kijeshi aina ya SMG no.34555  iliyokuwa ikitumiwa na watu wawili wanaodhaniwa kuwa majamabazi katika kijiji cha Manga manispaa ya Singida.(Picha na Nathaniel Limu).

Msigwa: Baraza la Mawaziri limedumaa

Peter MsigwaMBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), amesema asilimia 40 ya Baraza la Mawaziri limedumaa kwa sababu limeshindwa kutekeleza majukumu yake.

Aliyekuwa DC Mbozi ajiunga CHADEMA

Gabriel Kimollo
ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Gabriel Kimollo amejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Wakazi wa jiji la mbeya wametakiwa kulinda vyanzo vya maji ili kuondokana na tatizo la uhaba wa maji uliopo hivi sasa.

mkurugenzi wa mamlaka ya maji mkoani mbeya Simion  aliongozana na madiwani wa kata ya IGANZO,Mh USWEGE FULIKA na diwani wa kata ya Mwansekwa GASPER NGONELA ambapo wameitaka mamlaka kuzidi kutoa elimu kwa wananchi wanao zunguka vyanzo vya maji.