Pages
Monday, 7 October 2013
Wednesday, 2 October 2013
MBEYA KIMENUKA.
Polisi wakiwa katika ulinzi mkali
Maduka yakiwa yamefungwa
Wafanya biashara wakiwa uwanjani kungoja kusikiliza nini hatma yao
Baadhi ya watu wakiwa wanakimbia Baada ya Mabomu ya machozi kuanza kurushwa kuepusha vurugu
Mawe yakiwa yamepangwa kuzuia magari yasiende kokote
Maduka yote yakiwa yamefungwa eneo la mwanjelwa kupinga ununuzi wa mashine hizo za TRA
Vijana hawa wakiwa wana nawa uso baada ya Bomu la machozi kuwapitia
Jiwe kubwa likiwa limewekwa katika Barabara magari yasipite
Hali tete Tayari vijana wameanza kuchoma mataili.....
Saturday, 28 September 2013
JAHAZI TARENT CHOIR (JTC) INAMSHUKURU MUNGU KUWAWESHA KUREKODI ALBAMU YAO YA KWANZA INAYOKWENDA KWA JINA LA BUSTANI AMBAYO INA NYIMBO NANE.
HIVI SASA JAHAZI TALENT CHOIR WANATARAJIA KUTOA MKANDA WA VIDEO NA KAMA WEWE UNAGUSWA ZAIDI NA KAZI YA MUNGU WANAYOTARAJIA KUIFANYA BASI WAWEZA KUWASILIANA NA KATIBU WA KWAYA KWA SIMU NAMBA 0784-691783,0763-023811.
JAHAZI TARENT CHOIR WANAPATIKANA JIJINI MBEYA KATIKA KANISA LA KIINJILI LA KILUTHELI LILILOPO ISANGA JIJINI HUMO, KUMBUKA TWENDENI SHAMBANI MWA BWANA TUKAIFANYE KAZI YAKE BARIKIWA....
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya ACP Diwani Athumani
………………………………………………………………………………………………..
WILAYA YA CHUNYA – KUPATIKANA NA BHANGI.
MNAMO TAREHE 27/09/2013 MAJIRA YA SAA 14:30HRS HUKO KATIKA KIJIJI CHA KARUNGU – MAKONGOLOSI WILAYA YA CHUNYA MKOA WA MBEYA.
Subscribe to:
Comments (Atom)













