Pages

Friday, 6 September 2013

Sheikh Azzan atakiwa kutibiwa nje

Sheikh Azzan Khalid Hamadan 
Kwa ufupi
  • Kamishna wa Chuo cha Mafunzo (Magereza) Zanzibar, Khalifa Hassan alisema wamelazimika kuomba mwongozo kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar (DPP) ambaye kwa niaba ya Serikali ndiye aliyemfungulia mashtaka.

Ghasia kubwa zalipuka kupinga muswada


Bunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi akidhibitiwa na Polisi Ndani ya Bunge wakati wa mdajadala wa Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.Picha na Fidelis Felix 


Wednesday, 4 September 2013

MJANE WA MIAKA 60 ANAOMBA MSAADA WA KUTIBIWA MKONO WAKE ULIYOANZA KUHARIBIKA BAADA YA KUJERUHIWA NA NYOKA WILAYANI CHUNYA.


Mandela arudishwa nyumbani

Gari la kubebea wagonjwa likimrudisha nyumbani Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela jana
JOHANNESBURG, Afrika Kusini
SERIKALI ya Afrika Kusini imesema kuwa Rais wa zamani wa nchi hiyo, Nelson Mandela, ametolewa hospitali ambako amekuwa akitibiwa ugonjwa wa mapafu tangu Juni mwaka huu.

KESI DHIDI YA PINDA YAIVA

KESI ya kikatika iliyofunguliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kushirikiana na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) dhidi ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, inatarajiwa kuanza kuunguruma Septemba 16, mwaka huu katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

NI KIAMA: ATAFUNWA USO NA MWAJIRI WAKE NYUMBANI

  • KABLA ALIANZA KUNG'ATA ULIMI WA MBWA

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida mkazi wa Kijiji cha Nyabibuye Kakongo katika Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, Susuluka (16) anadaiwa kujeruhiwa vibaya usoni na bosi wake, Imani Paulo (36) kwa kung’atwa ng’atwa usoni na kisha kunyofolewa macho, pua na meno kubaki nje, kama ambavyo anaonekana pichani ukurasa wa mbele.

Mnigeria adakwa na dawa za kulevya Dar es Salaam

 
“Baada ya kumhoji ametueleza kuwa dawa hizo alizinunua maeneo ya Magomeni, kwa sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya uchunguzi na mahojiano zaidi.” Clemence Jingu