Sheikh Azzan atakiwa kutibiwa nje
Sheikh Azzan Khalid Hamadan
Kwa ufupi
- Kamishna wa Chuo cha Mafunzo (Magereza) Zanzibar, Khalifa Hassan alisema wamelazimika kuomba mwongozo kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar (DPP) ambaye kwa niaba ya Serikali ndiye aliyemfungulia mashtaka.

