Wabunge Z’bar wakwamisha Muswada wa kura za Maoni
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk Terezya Huviza
akijibu swali bungeni Dodoma jana.
Kwa ufupi
- Wao wanasema masuala ya kura ya maoni siyo ya Muungano kwa sababu wao tayari wana sheria yao ya kura ya maoni. Sasa wanahoji inakuwaje sheria hii itumike tena hadi Zanzibar?


