Mauaji ya kutisha mkoani Simiyu
Wakazi wa Simiyu wakiwa katika moja ya mikutano yao
Kwa ufupi
Taarifa zinaonyesha kuwa kwa mwaka jana pekee,
wastani wa watu watatu walikuwa wakiuawa kila wiki na kikundi hicho cha
watu kinachofahamika kama Baraza la Kimila katika Mkoa wa Simiyu,
wakiwamo wanawake na watoto.


