Lukuvi: Wabunge wengi wamo orodha ya dawa za kulevya
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi
Na Habel Chidawali
(email the author)
Kwa ufupi
- Lakini asema Serikali haiwezi kukurupuka kuwataja kwa kuwa haina ushahidi wa kutosha