BREAKING NEWSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS
MBEYA
MTOTO WA KIKE ALIYEFAHAMIKA KWA JINA MOJA HADIJA ANAYEKADILIWA KUWA NA UMRI WA MIAKA 8 AMEGONGWA NA GARI AINA YA TAXI T 220 AZN, KATIKA ENEO LA MSIKITINI-ISANGA JIJINI MBEYA, HUKU CHANZO KIKIDAIWA KUWA DEREVA WA GARI HILO ALIKUWA AKIENDESHA KWA MWENDO KASI HUKU AKIWA AMELEWA KWA TAARIFA ZAIDI ENDELEA KUFUATILIA BLOG HII........
Pages
Tuesday, 20 August 2013
AMRI YA MWAKYEMBE JNIA YATEKELEZWA
SAKATA la maofisa wanne waliotajwa na Waziri wa Uchukuzi,
Dkt. Harrison Mwakyembe kuhusika na kupitisha dawa za kulevya kilo 150 katika
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) limeendelea kutekelezwa
baada ya maofisa hao kukabidhiwa barua zao rasmi.
VIGOGO DECI CHINI YA ULINZI
Vigogo kutoa ushahidi dhidi ya Mbunge Lema
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema
Na Peter Saramba
(email the author)
Kwa ufupi
Na Meck Lameck
Butiku: Ningejua CCM itaingilia mchakato wa Katiba nisingeshiriki
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku
Kwa ufupi
- Butiku ambaye alitoa kauli hizo kwa nyakati tofauti, wikiendi iliyopita kwenye Mabaraza ya Katiba ya Halmashauri ya Mji wa Soni, Lushoto na Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, alieleza kutokufurahishwa kwake na kitendo cha CCM kushinikiza maoni yake mbele ya mabarza
- Na Meck Lameck
Subscribe to:
Comments (Atom)