MAJAMBAZI wawili wameuawa na wananchi wenye hasira baada y a
k ump o r a f e d h a mfanyabiashara, Wiliam Mathias mkazi wa Kijitonyama
jijini Dar es Salaam.
Watuhumiwa
waliotiwa hatiani kwa makosa ya kupokea fedha kupitia taasisi isiyo
halali ya DECI, kinyume cha sheria wakiwa chini yaulinzi mara baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana. Washtakiwa haoni Jackson Mtares, Dominick Kigendi, Timotheo ole Loitignye na Samwel Sifael Mtares
Wakili wa Serikali, Elinenya Njiro, alitaja
mashahidi wengine watakaotoa ushahidi wao mahakamani kuwa Faraji Mnepe,
Benjamin Simkanga na Naibu Hamidu, wote kutoka Chuo cha Uhasibu.
Butiku: Ningejua CCM itaingilia mchakato wa Katiba nisingeshiriki
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku
Kwa ufupi
Butiku ambaye alitoa kauli hizo kwa nyakati
tofauti, wikiendi iliyopita kwenye Mabaraza ya Katiba ya Halmashauri ya
Mji wa Soni, Lushoto na Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, alieleza
kutokufurahishwa kwake na kitendo cha CCM kushinikiza maoni yake mbele
ya mabarza
Helikopta ya polisi iliyombeba Katibu wa Jumuia na Taasisi za Kiislamu
Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ikiwa katika Uwanja wa Gymkhana mkoani
Morogoro baada ya kumfikisha kiongozi huyo kwa ajili ya kupelekwa
kusomewa mashtaka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani humo jana.Picha
na Juma Mtanda
RAIS wa Malawi, Joyce Banda amempongeza
Rais Jakaya Kikwete kwa kuimarisha demokrasia, amani na usalama katika
nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za kusini mwa Afrika (SADC).