Pages

Wednesday, 14 August 2013

Kamati kuu ya CCM kuamua hatma ya Madiwani Bukoba.

Nape-Nnauye
Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Kagera tarehe 13/08/2013 katika kikao chake cha siku moja kilichofanyika mjini Bukoba imetangaza uamuzi wake wa kuwafutia dhamana ya CCM hivyo kuwavua Udiwani Madiwani wanane wa Manispaa ya Bukoba waliotokana na CCM.

BREAKING NEWS!! UZEMBE WA TANESCO WASABABISHA KIFO CHA BINTI WA MIAKA 26 JIONI HII MBALIZI MBEYA. 

MWILI WA MAREHEMU UKIWA KATIKA CHUMBA CHA MAITI HOSPITALI YA IFISI ILIYOKO WILAYA YA MBEYA UKISUBIRI UCHUNGUZI ZAIDI WA KITABIBU.

Polisi wamkamata aliyemuua Msuya


 

NA Meck Lameck
Kwa ufupi
  • Habari hizo zimedai kuwa polisi pia imewahoji mawakala wa kampuni za simu ambao walitumiwa kusajili laini mpya za simu zilizotumika kumpigia marehemu na kutumika kupanga mauaji hayo.
SITTA AGEUKA JIWE
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, amebadili kauli yake ya awali, kwamba katiba mpya iondoe viti maalumu kwa kuwa wabunge wa viti maalumu hawana umuhimu wowote.

Kodi kuhamisha fedha yapingwa

 
Benki kuu ya Tanzania(BOT) 

Kwa ufupi
  • Katika taarifa yao kwa vyombo vya habari iliyochapishwa kwenye magazeti jana, chama hicho kimesema kuwa hakikushirikishwa katika utungaji wa sheria hiyo bali kilipata taarifa kupitia mawasiliano yake na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Necta kusahihisha mitihani ya kujieleza kwa kompyuta

 
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Nchini (Necta), Dk Joyce Ndalichako 
Na Fredy Azzah  (email the author)

Kwa ufupi
Hatua hii inakuja baada ya Serikali kuanza kuitumia kusahihisha mitihani ya darasa la saba jana

Ponda: Risasi ilinichanganya

 
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda akiwa na mkewe Hadija Ahamad alipomtembelea jana. Picha na Beatrice Moses
Kwa ufupi
  • Namshauri Rais (Jakaya Kikwete), kuhakikisha kwamba haki za wanyonge zinawafikia, asije akafikiri hili lililotokea kwa Sheikh Ponda ni suluhisho, ni vyema kufanya mazungumzo ili kuweka mabadiliko.