Kamati kuu ya CCM kuamua hatma ya Madiwani Bukoba.
Halmashauri
Kuu ya CCM Mkoa wa Kagera tarehe 13/08/2013 katika kikao chake cha siku
moja kilichofanyika mjini Bukoba imetangaza uamuzi wake wa kuwafutia
dhamana ya CCM hivyo kuwavua Udiwani Madiwani wanane wa Manispaa ya
Bukoba waliotokana na CCM.
