Necta kusahihisha mitihani ya kujieleza kwa kompyuta
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Nchini (Necta), Dk Joyce Ndalichako
Kwa ufupi
Hatua hii inakuja baada ya Serikali kuanza kuitumia kusahihisha mitihani ya darasa la saba jana
