Pages

Thursday, 17 May 2018

Watumishi Wa Afya Nchini Wanatakiwa Kuchunguza Watoto Saratani Ya Macho Kila Wanapohudhuria Klinik.

WATUMISHI wa Afya wa ngazi ya Jamii,Zahanati , Vituo vya afya vya na Hospitali za Kliniki za Mama na Mtoto za Wilaya zinatakiwa kuchunguza Uakisi wa mwanga kwenye mboni za watoto kila wanapoenda kucheki ukuaji wa watoto hao ili kupunguza uwepo wa saratani ya macho kwa watoto.

Watanzania Watakiwa Kutumia Takwimu Zinazotokana na Sensa Mbalimbali Kujiletea Maendeleo

 

Na: Lilian Lundo – MAELEZO, Dodoma.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe.  Luhaga Mpina amewataka Watanzania  kutumia takwimu za sensa mbalimbali  zinazotolewa na ofisi ya Taifa ya Takwimu ili kuongeza tija na hatimaye kupunguza umasikini nchini.