MECK LAMECK BLOG. TUNAOMBA RADHI KWA KUTOKUWA PAMOJA NAWE KWA KWA MDA MREFU LAKINI HIYO ILIKUWA NI KATIKA KUJIPANGA NA SASA TUMEKUJA KWA SPEED YA AJABUUUUUU PATA HABARI KABAMBE KUTOKA KILA KONA YA DUNIA.
By MECK LAMECK.
Chadema ngangari, yasisitiza kutoshiriki Bunge la Katiba
Mwenyekiti wa Chadema,FreemanMbowe akizungumza na waandishi wahabari Dar es Salam jana, kuhusu maazimio ya Kamati Kuu ya Chama hicho, iliyokutana kwa siku mbili Dar es Salaam, Kushoto ni Katibu Mkuu wa chama hicho Dk. Wilbrod Slaa. Picha na Venance Nestor