Pages

Sunday, 24 November 2013


‘Mtanzania’ akamatwa kesi ya utumwa Uingereza

Polisi wakiwa nje ya moja kati ya majengo yanayohisiwa kutumika kama makazi ya mke na mume waliokamatwa Alhamisi kwa tuhuma za kujihusisha na utumwa. Mmoja kati ya watuhumiwa hao ametokea Tanzania. PICHA | LEON NEAL-AFP 

London. Mmoja kati ya watuhumiwa wawili wanaoshutumiwa kuwashikilia wanawake watatu katika mazingira ya utumwa kwa miaka 30 mjini London anatokea Tanzania, polisi Uingereza wamesema Jumamosi.

Mtei: Tutaendelea kuwafukuza wasaliti


Mwasisi wa Chadema Edwin Mtei anamtaka Saidi Arfi aache kulalamika kwani “kama alikuwa na ndoto kwamba siku moja atakuwa mwenyekiti wa Chadema taifa alipaswa kujichunguza kwanza.” PICHA | MAKTABA 

Arusha. Mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei amesema kuwa chama hicho kitaendelea kuwafukuza wote wanaokihujumu huku akieleza kwamba, anaunga mkono kuvuliwa uongozi kwa Zitto Kabwe na Dk Kitila Mkumbo.


Laptop ilichangia mauaji ya kutisha Ilala Bungoni

Christina Newa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mauaji yaliyofanywa na mchumba wake Gabriel Munisi. PICHA | MAKTABA 



‘Nilikuwa naomba Mungu kila siku ili afukuzwe Chadema’ - Mama Zitto

 Dar es Salaam. Siku moja baada ya Kamati Kuu ya Chadema kumvua uongozi aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Taifa wa chama hicho, Zitto Kabwe, mama yake mzazi, Shida Salum ametoa ya moyoni akieleza kuwa kilichomkuta mwanaye kimefunika mabaya mengi yaliyopangwa afanyiwe.